Ule mkataba uliusoma lkn? Kama uliusoma basi neno uzezeta liongezee makali/boldWe umezitoa wapi hizi!?
Kingine ni kwamba,TZ inawananchi zaidi ya 60M haiwezekani wote tukaamua kila mtu kivyake ndio maana tuliwachagua baadhi yetu wataokuwa wanafanya maamuzi.
Ushauri wangu hebu tuwaaminini tulio wachagua haya mengine ya kuhisi hayafai. Rais ni taasisi,haiwezi ikawa na uzezeta wa namna hiyo.
MAGUFULI4LIFE.
"sh*t hole country"!Hunter Biden anachunguzwa kwa deal chafu kama hizi; huku kwetu ukihoji unaambiwa unasukumwa na udini.
Hizi nchi kweli zinastahili lile jina zilizobatizwa na Trump.
Uliwachagua hawa?Ushauri wangu hebu tuwaaminini tulio wachagua
Ina maana hao uliowachagua na kuwapa mamlaka ya kufanya uamzi, wakiamua kukuuza wewe bado upo tayari kuuzwa au siyo?Kingine ni kwamba,TZ inawananchi zaidi ya 60M haiwezekani wote tukaamua kila mtu kivyake ndio maana tuliwachagua baadhi yetu wataokuwa wanafanya maamuzi
Siku wanasaini dili Mstaafu aliyegoma kustaafu alikuwepo kuwakilisha genge lake la matapeli.Nadhani hii ni kweli kabisa maana ukiangalia kwanini Rostam anafuatana na samia kila anapokwenda Arabuni?
Kuna siku watu watanyongwa hadharani...time will tell kwa watakaokuwepo
JKMstaafu aliyegoma kustaafu
Kizazi Cha zinaa mna tabu,kutwa kuzua na kufitinisha
Ni mwehu pekee anayeweza kuamini Urais wa Tanzania ni Taasisi.We umezitoa wapi hizi!?
Kingine ni kwamba,TZ inawananchi zaidi ya 60M haiwezekani wote tukaamua kila mtu kivyake ndio maana tuliwachagua baadhi yetu wataokuwa wanafanya maamuzi.
Ushauri wangu hebu tuwaaminini tulio wachagua haya mengine ya kuhisi hayafai. Rais ni taasisi,haiwezi ikawa na uzezeta wa namna hiyo.
MAGUFULI4LIFE.
ID yako tu inasadifu zinaa.Kizazi Cha zinaa mna tabu,kutwa kuzua na kufitinisha
Wewe ndo unawaza zinaa,ukikuta watu wameinama wanaosha vyombo,fikra zako ni pale unakaa upande gani na unapiga pampu ngapi!?ID yako tu inasadifu zinaa.
[emoji850][emoji850][emoji850]Wengine tulipoanza kuona yule bwana mara kaenda kuzindua sijui taifa gas tukajua kwisha habari yake.
Mpango kaa mbali na huyu mtu.