Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Hahahaaaaaa hapana mkuu hapa naelekea Kahama ili Kesho mapema sana Nitaanza safari
Bora Wewe unajituma kutafuta
Kuna wabwekaji humu mtandaoni kazi yao kutukana serkali tu wamejifungia Ndani kama mwali hawajishughulishi
Mkuu hivi huko dagaa wa mwanza hasa hawa wa kukaanga hawana soko?
Najihusisha na hii biashara natafuta sana wateja
Pakti nauza elfu 1
Ndoo ndogo elf 40
Kubwa 80
Mawasiliano 0683011003View attachment 1254091
Manengelo upo kahama mkuu?Haya ukifika kahama uje club chillers tuzipunguze kidg hizo hela[emoji41]! Nipo hpa nimejaa tele[emoji41][emoji39][emoji39]!jokes aside.. Kila la heri mzee baba!
haswaa!Manengelo upo kahama mkuu?
Hao matapeli wapo kwa njia ipi madukani au Lodge 😁Karibu sana Kampala, uku daladala tunaziita taxi, usafiri wa haraka ni wa kutumia bodaboda. Tulikuwa na kamvua kananyesha ila siku mbili tatu hizi ni kukavu.
Usiache kufika maeneo ya Arua park kuna wabongo wengi wanaweza kukusaidia usikutane na matapeli
Hahaha Uwii umenifanya nikuangaze Aisee leo j3 hapana Fujo Nipo nagonga Jambo yangu kubwa
Umefika wap mzee baba!jamani nguo za uganda ni traamu!hebu fanya mchakato ufungue duka la watot nguo toa ugandaPazuri Sana
@manengelo kumbe upo kahama...Umefika wap mzee baba!jamani nguo za uganda ni traamu!hebu fanya mchakato ufungue duka la watot nguo toa uganda
@manengelo kumbe upo kahama...
Kalete vitu vitamu mzee baba...!pure cotton ndo habari ..!..kuwa mjanja .wakunbuke na plus size !Vyote vinavyomuhusu mwanamke mkuu
Aha SawaSiishi kahama mkuu...huwa nakuja mara moja moja..jana nilikuwepo kahama!