Jioni ya 4/11/2019 safarini Uganda kibiashara

Eat More,


Sasa hv kuna baadhi ya sehemu jaman wanachakachua...wanakaanga wale wakavu....yaan nchi hii😅!binafsi nimeacha kuwanunua...
 
Eat More, Nimewaona ila kidogo uku jamii ya samaki inauzwa kwa bei kubwa kwa sababu uvuvi umekua controlled na jeshi.
 
Haya ukifika kahama uje club chillers tuzipunguze kidg hizo hela😎! Nipo hpa nimejaa tele😎😋😋!jokes aside.. Kila la heri mzee baba!
Hahaha Uwii umenifanya nikuangaze Aisee leo j3 hapana Fujo Nipo nagonga Jambo yangu kubwa
 
Hao matapeli wapo kwa njia ipi madukani au Lodge 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…