Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Miaka hiyo 2010 niliwahi msindikiza B-mkubwa wangu kampala ili nipate uzoefu wa biashara zake za nguo,nilikuwa bado secondary,now Jamaa zangu wanapiga dili safi na chafu huko,wa hadi vitambulisho vya Uraia vya Ug.
Vipi na ww kupiga hizo dili mkuu?au uko pazuri zaidi