Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Miaka hiyo 2010 niliwahi msindikiza B-mkubwa wangu kampala ili nipate uzoefu wa biashara zake za nguo,nilikuwa bado secondary,now Jamaa zangu wanapiga dili safi na chafu huko,wa hadi vitambulisho vya Uraia vya Ug.
yellow vaccinaction ndo nin mkuu..ppt nayo ni nin
Ppt ni pasport ...yellow vaccination ni kinga mkuu!
Kampala imebadilika sana siku hizi. Tofauti na early 2000s wakati tunasoma huko. But all in all kama sio mjuzi wa machimbo ya vitu au places kuwa mpenzi mtazamaji zaidi kuliko muongeaji hasa kiswahili. Watakunyoosha.
Umenikumbusha mbali Kireka bweyogerere nakawa kikoni bwaise (kwa masela) bugolobi kwa watoto wa kishua mengo nakasero natete nalya lugogo arua park mukono namanve seeta dah kitambo sana
Kampala imebadilika sana siku hizi. Tofauti na early 2000s wakati tunasoma huko. But all in all kama sio mjuzi wa machimbo ya vitu au places kuwa mpenzi mtazamaji zaidi kuliko muongeaji hasa kiswahili. Watakunyoosha.
Umenikumbusha mbali Kireka bweyogerere nakawa kikoni bwaise (kwa masela) bugolobi kwa watoto wa kishua mengo nakasero natete nalya lugogo arua park mukono namanve seeta dah kitambo sana
Tayari niko home Tanzania nimerudi salama nikitulia nitajaribu kushare experience ndogo niliyoipata huko
Umetisha mjomba
Kalete vitu vitamu mzee baba...!pure cotton ndo habari ..!..kuwa mjanja .wakunbuke na plus size !
Kwa Uganda utakuwa na kama 900000 plushongera sana samahani hv nikiwa na mtaji wa laki 6 ya tz nikiingia Ug si mtaji tosha huko