Jipange upya, Milioni 10 haitoshi kabisa kwenda China na kutengeneza faida

Jipange upya, Milioni 10 haitoshi kabisa kwenda China na kutengeneza faida

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Usipoteze mtaji wako, ukuze kwanza, Milioni 10 Haitoshi kabisa kuja China na kutengeneza faida kwenye biashara yako.

Hapa ni makadirio ya gharama kama unakuja china.

Ata uwe na connection Passport na Visa ni zaidi ya laki tatu... ( 300,000)

Nauli ya ndege kuja na kurudi 2.5 _3M ( kutegemea na shirika la ndege na msimu)

Gharama za hoteli angalau standard Tsh 65,000 ( 910,000) ukikaa week mbili tu.

Nauli ya kwenda masokoni kwa Tax maana mara ya kwanza kama huna mwenyeji huwezi tumia daladala wala Metro maana hujui ( Tsh 30,000 kila siku) 420,000 kwa siku 14 hapo umezunguka mizunguko ya masokoni wala sio kwenda viwandani.

Chakula. Tuseme umejibana sana ukawa unakula mlo mmoja tu kwenye migahawa ya Kiafrika ( 20,000 kila siku sawa na 280,000 siku 14)

Laini ya China pamoja na vocha tuseme na emergency yoyote 90,000. ( laini na vocha ni gharama zaidi)

Bado kuna gharama za kulipia usafiri wa bidhaa kutoka China, kutoa mzigo bandarini ukifika Tz na kumbuka hujui masoko na hakuna atakayejitolea kukutembeza au kukuelekeza bure . Hapo kwenye milioni kumi zako utakua umebaki na milioni 5 tu ya kununua mzigo
.
Sasa wote tuongee ukweli Kibiashara. Kwenye hiyo milioni 5 ndo ununue bidhaa na kusafirisha ikurudishie faida na kuna rungu la kodi linakusubiri kuutoa mzigo bandarini Tz ?

Kawaida pia china ukiwa na mtaji mdogo bidhaa utanunua bei ya juu kidogo na masokoni sio viwandani. Kwaio kwa mtaji wako wa chini ya Milioni tano ya bidhaa maana yake utanunua bidhaa chache mbazo hata ukirudi ukauza hautarudisha gharama ulizotumia Ukiachana na faida.

Ushauri wangu. Weka mipango ya kuja China lakini ukuaji wa Biashara yako na mahitaji ndio yaamie uje lini. Kama biashara yako bado ni ndogo na mtaji bado ni mdogo subiri ukue.

Na kama unaona hizi gharama ni kubwa ujue muda wako bado lakini kumbuka muda wako utafika.

Kama una mtaji mdogo hata kama ni laki 5 mbadaka ni kuagiza kupitia mitandao mikubwa kama Alibaba, Made in China, n.k. muuzaji atasafirisha mzigo kwenye ofisi za makampuni kama Silent Ocean zilizopo China kisha wao utawalipa wakuletee mzigo Tz. Ubaya ni kwamba ni gharama zaidi kununua vtu kwa mtaj mdogo, pia hutaweza kukagua na kutesti bidhaa kama mtu alieenda huko.

Kuna mitaa ya Guangzhou wamejaa wakinga, hio ni advantage kubwa sana, wamepelekwa huko na ndugu zao wenye maduka kutafuta machimbo, kuwakagulia bidhaa, connections, kusimamia usafirishaji, n.k. Kuna fashen mpya inatrend ya kiatu cha laki, Hicho kiatu kitasafirishwa kwa ndege hadi China, kitapelekwa kiwandani kutoa copy za kutosha za bei chee.
 
Milioni 10 Haitoshi kabisa kuja China na kutengeneza faida kwenye biashara yako.

Hapa ni makadirio ya gharama kama unakuja china.

Nauli ya ndege kuja na kurudi 2.5 _3M ( kutegemea na shirika la ndege na msimu)

Gharama za hoteli angalau standard Tsh 65,000 ( 910,000) ukikaa week mbili tu.
.
Nauli ya kwenda masokoni kwa Tax maana mara ya kwanza kama huna mwenyeji huwezi tumia daladala wala Metro maana hujui ( Tsh 30,000 kila siku) 420,000 kwa siku 14 hapo umezunguka mizunguko ya masokoni wala sio kwenda viwandani.

Chakula. Tuseme umejibana sana ukawa unakula mlo mmoja tu kwenye migahawa ya Kiafrika ( 20,000 kila siku sawa na 280,000 siku 14)

Laini ya China pamoja na vocha tuseme na emergency yoyote 90,000. ( laini na vocha ni gharama zaidi)

Bado kuna gharama za kulipia usafiri wa bidhaa kutoka China, kutoa mzigo bandarini ukifika Tz na kumbuka hujui masoko na hakuna atakayejitolea kukutembeza au kukuelekeza bure . Hapo kwenye milioni kumi zako utakua umebaki na milioni 5 tu ya kununua mzigo
.
Sasa wote tuongee ukweli Kibiashara. Hata kama umejibana sana ukabaki na milioni 5.x ndo ununue bidhaa na kusafirisha ikurudishie faida ukiongezea na rungu la kodi linakusubiri kutoa bidhaa bandarini ?

Kawaida pia china ukiwa na mtaji mdogo bidhaa utanunua bei ya juu kidogo na masokoni sio viwandani. Kwaio kwa mtaji wako wa chini ya Milioni tano ya bidhaa maana yake utanunua bidhaa chache mbazo hata ukirudi ukauza hautarudisha gharama ulizotumia Ukiachana na faida.

Ushauri wangu. Weka mipango ya kuja China lakini ukuaji wa Biashara yako na mahitaji ndio yaamie uje lini. Kama biashara yako bado ni ndogo na mtaji bado ni mdogo subiri ukue.

Na kama unaona hizi gharama ni kubwa ujue muda wako bado lakini kumbuka muda wako utafika.

Na kama bado una uliza uwe na Tsh ngapi ndo uje china Kibiashara ujue Pia bado muda wako haujafika. Biashara yako na mahitaji ndo yaamue hatua gani uchukue 📌 Usipoteze mtaji wako, ukuze kwanza
Japo hitimisho lako hapo sio sahihi mkuu kwasababu hapa mtwara kuna watu wengi tu wanaenda dar kufuata mali huku wamebeba mpaka milion 50 kwahiyo mtu wa aina hiyo akiuliza inabidi awe na shiling ngapi anakosa sifa źa kwenda china?
 
Je unatushaur nini sisi wenye mayaji wa chini ya 10M, Ambao tuna mawazo ya kufanya biashara ya kuagiza mizigo china....?
Je n Biashara gan kwa sasa ina mzunguko mkubwa hko china na Tanzania....?
 
Je unatushaur nini sisi wenye mayaji wa chini ya 10M, Ambao tuna mawazo ya kufanya biashara ya kuagiza mizigo china....?
Je n Biashara gan kwa sasa ina mzunguko mkubwa hko china na Tanzania....?
Kama una mtaji mdogo hata uwe na laki 5 agiza kupitia mitandao mikubwa kama Alibaba, Made in China, n.k. wao watapeleke mzigo kwenye ofisi za makampuni kama Silent Ocean, utawalipa silent ocean wakuletee mzigo wako.

Ubaya ni kwamba ni gharama zaidi na huwezi kukagua bidhaa kwenye picha za mitandaoni, mzigo unaweza kufika upo tofauti na ulivyodhani.
 
Kama una mtaji mdogo hata uwe na laki 5 agiza kupitia mitandao mikubwa kama Alibaba, Made in China, n.k. wao watapeleke mzigo kwenye ofisi za makampuni kama Silent Ocean, utawalipa silent ocean wakuletee mzigo wako.

Ubaya ni kwamba ni gharama zaidi na huwezi kukagua bidhaa kwenye picha za mitandaoni, mzigo unaweza kufika upo tofauti na ulivyodhani.
Hyo ndio changamoto ukbwa sana
 
Milioni 10 Haitoshi kabisa kuja China na kutengeneza faida kwenye biashara yako.

Hapa ni makadirio ya gharama kama unakuja china.

Nauli ya ndege kuja na kurudi 2.5 _3M ( kutegemea na shirika la ndege na msimu)

Gharama za hoteli angalau standard Tsh 65,000 ( 910,000) ukikaa week mbili tu.
.
Nauli ya kwenda masokoni kwa Tax maana mara ya kwanza kama huna mwenyeji huwezi tumia daladala wala Metro maana hujui ( Tsh 30,000 kila siku) 420,000 kwa siku 14 hapo umezunguka mizunguko ya masokoni wala sio kwenda viwandani.

Chakula. Tuseme umejibana sana ukawa unakula mlo mmoja tu kwenye migahawa ya Kiafrika ( 20,000 kila siku sawa na 280,000 siku 14)

Laini ya China pamoja na vocha tuseme na emergency yoyote 90,000. ( laini na vocha ni gharama zaidi)

Bado kuna gharama za kulipia usafiri wa bidhaa kutoka China, kutoa mzigo bandarini ukifika Tz na kumbuka hujui masoko na hakuna atakayejitolea kukutembeza au kukuelekeza bure . Hapo kwenye milioni kumi zako utakua umebaki na milioni 5 tu ya kununua mzigo
.
Sasa wote tuongee ukweli Kibiashara. Kwenye hiyo milioni 5 ndo ununue bidhaa na kusafirisha ikurudishie faida na kuna rungu la kodi linakusubiri kuutoa mzigo bandarini Tz ?

Kawaida pia china ukiwa na mtaji mdogo bidhaa utanunua bei ya juu kidogo na masokoni sio viwandani. Kwaio kwa mtaji wako wa chini ya Milioni tano ya bidhaa maana yake utanunua bidhaa chache mbazo hata ukirudi ukauza hautarudisha gharama ulizotumia Ukiachana na faida.

Ushauri wangu. Weka mipango ya kuja China lakini ukuaji wa Biashara yako na mahitaji ndio yaamie uje lini. Kama biashara yako bado ni ndogo na mtaji bado ni mdogo subiri ukue.

Na kama unaona hizi gharama ni kubwa ujue muda wako bado lakini kumbuka muda wako utafika.

Na kama bado una uliza uwe na Tsh ngapi ndo uje china Kibiashara ujue Pia bado muda wako haujafika. Biashara yako na mahitaji ndo yaamue hatua gani uchukue 📌 Usipoteze mtaji wako, ukuze kwanza
Vip nikiwa namilioni40 siendi china?
 
Mimi nataka kuja China kufanya utalii wa ngono tu, vipi milioni 10 haitoshi?
 
Mkuu ulishawahi kupitia uzi wa jinsi ya kupata idea za biashara?

Usifanye biashara ya kuambiwa tu, utapoteza hela.
Usimtishe huyo kwasababu yuko sahihi kuuliza hivyo tunafanya biashara mara nyingi kutokana na masimulizi ya watu wetu wa karibu
 
Chukua machimbo ya biashara ukafanye biashara (Namba za simu 600 za machimbo na location zake)!

KINAUZWA
Kitabu cha Machimbo ya Biashara
Kitabu chenye machimbo 600 ya biashara kwa TSH 15,000 tu!

Kitabu hiki kina namba za simu 600 za wauzaji wa bidhaa kwa bei nafuu, jumla na rejareja.

Jinsi ya kukipata WHATSAPP: 0612607426
CALL: 0687746471

Unaweza kupakua kitabu hiki kupitia link hii:

Kwa msaada wa kupakua, wasiliana kupitia:
WhatsApp: 0612607426
Call: 0687746471

Kitabu kina sura 68 kama ifuatavyo:

Sura ya 1 hadi 5: Machimbo ya nguo za watoto, vifaa vya ofisini (stationery), vifaa vya ujenzi (hardware), dawa (pharmacy), na vinywaji.

Sura ya 6 hadi 10: Kahawa, maremba, vifaa vya mazoezi, miwani, na nywele bandia kama rasta na wigs.

Sura ya 11 hadi 20: Shati za shifoni, viatu, kofia, gauni za usiku, vitambaa vya masofa, hereni na cheni, vyombo vya jikoni, na vifaa vya michezo.

Sura ya 21 hadi 30: Pajamas, balo za mitumba, masweta, maturubai, pipi, jeans, jezi, na vifaa vya kufungashia.

Sura ya 31 hadi 40: Toys, T-shirts, diaper, bidhaa za supermarket, manukato, madera, mitandio, abaya, hijabu, na vitenge.

Sura ya 41 hadi 50: Khanga, vitambaa vya kushona, vipodozi, nguo za watoto, pochi, vifaa vya simu, mikeka, bidhaa za wachina, na sufuria sets.

Sura ya 51 hadi 60: Chupa za maji, midoli, lubricants za magari, maduvets, mashuka, mapazia, majora ya mapazia, T-shirts zinazotrend, na bidhaa za ubuyu wa Zanzibar.

Sura ya 61 hadi 68: Maua artificial, pipi, vifaa vya masofa, bidhaa za mitumba, vifaa vya kuandaa keki, na bidhaa kutoka kwa wachina moja kwa moja.
 
Chukua machimbo ya biashara ukafanye biashara (Namba za simu 600 za machimbo na location zake)!

KINAUZWA
Kitabu cha Machimbo ya Biashara
Kitabu chenye machimbo 600 ya biashara kwa TSH 15,000 tu!

Kitabu hiki kina namba za simu 600 za wauzaji wa bidhaa kwa bei nafuu, jumla na rejareja.

Jinsi ya kukipata WHATSAPP: 0612607426
CALL: 0687746471

Unaweza kupakua kitabu hiki kupitia link hii:

Kwa msaada wa kupakua, wasiliana kupitia:
WhatsApp: 0612607426
Call: 0687746471

Kitabu kina sura 68 kama ifuatavyo:

Sura ya 1 hadi 5: Machimbo ya nguo za watoto, vifaa vya ofisini (stationery), vifaa vya ujenzi (hardware), dawa (pharmacy), na vinywaji.

Sura ya 6 hadi 10: Kahawa, maremba, vifaa vya mazoezi, miwani, na nywele bandia kama rasta na wigs.

Sura ya 11 hadi 20: Shati za shifoni, viatu, kofia, gauni za usiku, vitambaa vya masofa, hereni na cheni, vyombo vya jikoni, na vifaa vya michezo.

Sura ya 21 hadi 30: Pajamas, balo za mitumba, masweta, maturubai, pipi, jeans, jezi, na vifaa vya kufungashia.

Sura ya 31 hadi 40: Toys, T-shirts, diaper, bidhaa za supermarket, manukato, madera, mitandio, abaya, hijabu, na vitenge.

Sura ya 41 hadi 50: Khanga, vitambaa vya kushona, vipodozi, nguo za watoto, pochi, vifaa vya simu, mikeka, bidhaa za wachina, na sufuria sets.

Sura ya 51 hadi 60: Chupa za maji, midoli, lubricants za magari, maduvets, mashuka, mapazia, majora ya mapazia, T-shirts zinazotrend, na bidhaa za ubuyu wa Zanzibar.

Sura ya 61 hadi 68: Maua artificial, pipi, vifaa vya masofa, bidhaa za mitumba, vifaa vya kuandaa keki, na bidhaa kutoka kwa wachina moja kwa moja.
🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom