INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

ed6065e9be7429df30d6d732d54a6b56.jpg
machine ice cream njia mbili
Price 3100,000
 
Kama upo serious hakuna kinacho shindikana tunatuma kokote Tanzania mifano wapo hum watatoa ushuhuda hii ilikua inaenda arusha
97606ec7288f4e009028aca7b002ce06.jpg
Mkuu kwa mf ukiwa mkoani na ukahitaji/ukanunua bidhaa zenu je mkituma nitalipia na gharama za usafirishaji au iko included kwenye bei ya bidhaa?
 
Mkuu upo vizuri na huna longolongo, hakika ndicho online business inachotaka. Printer za Epson A3+ za photo, zenye mitungi ya wino attached unazo?
 
Na ukitaka kuagiza mzigo ukiwa mkoani utaratibu unakuwaje?
Taratibu nizakawaida iko hivi kama utakua na imani ndogo unaweza kumtumia Jamaa yako alieko dar aje ofisini mzigo ulioagiza zen unamtumia hela yy ndio anatupa sisi kama utaniamini unanielekeza mkoa husika mm jioni naupeleka kwenye basi lolote au utakalo chagua ww kumbuka mm nikampuni ww n mteja mmoja siwez kuharibu brand kwa kuto kutekelzea haja yako uwezo kano wakupata mzigo ulio point kwa asilimia mia tunafanya hivyo kwa muda mrefu
 
Taratibu nizakawaida iko hivi kama utakua na imani ndogo unaweza kumtumia Jamaa yako alieko dar aje ofisini mzigo ulioagiza zen unamtumia hela yy ndio anatupa sisi kama utaniamini unanielekeza mkoa husika mm jioni naupeleka kwenye basi lolote au utakalo chagua ww kumbuka mm nikampuni ww n mteja mmoja siwez kuharibu brand kwa kuto kutekelzea haja yako uwezo kano wakupata mzigo ulio point kwa asilimia mia tunafanya hivyo kwa muda mrefu
Asante kwa ufafanuzi mzr bosi
 
Back
Top Bottom