Amani mfaume
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 3,275
- 1,412
- Thread starter
- #181
Price 3100,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampuni lg, watt 1000, flash2 moja ni ya kurecodia , DVD player ,FM radio, DJ mix mic 2Naomba specifications za hii radio nifanye chaguo sahihi kati ya radio, Sw na Home theaters.
Hauna ndogo yake? maana hiyo bei imesha nishinda
tcl 40 inch unauzaje![]()
TV tcl smart inch 32
Price 485,000
![]()
Air cooler ndogo
Price 130,000
Mkuu kwa mf ukiwa mkoani na ukahitaji/ukanunua bidhaa zenu je mkituma nitalipia na gharama za usafirishaji au iko included kwenye bei ya bidhaa?Kama upo serious hakuna kinacho shindikana tunatuma kokote Tanzania mifano wapo hum watatoa ushuhuda hii ilikua inaenda arusha![]()
Sorry n kg 1.5hiyo ni kg2.5![]()
Price takufanyia 300,000tu
Huwa unachangia 5000 tu kwenye usafirishajiMkuu kwa mf ukiwa mkoani na ukahitaji/ukanunua bidhaa zenu je mkituma nitalipia na gharama za usafirishaji au iko included kwenye bei ya bidhaa?
Bila kujali ukubwa wa mzigo ama mkoa unapoenda?Huwa unachangia 5000 tu kwenye usafirishaji
Na ukitaka kuagiza mzigo ukiwa mkoani utaratibu unakuwaje?Huwa unachangia 5000 tu kwenye usafirishaji
Hizo ndogo zitaingia lini?!Ukitaka kutumia kama fane au kama ac sema hii tumemaliza leo zipo kubwa yake takufanyia bei nzuri kama unataka
Taratibu nizakawaida iko hivi kama utakua na imani ndogo unaweza kumtumia Jamaa yako alieko dar aje ofisini mzigo ulioagiza zen unamtumia hela yy ndio anatupa sisi kama utaniamini unanielekeza mkoa husika mm jioni naupeleka kwenye basi lolote au utakalo chagua ww kumbuka mm nikampuni ww n mteja mmoja siwez kuharibu brand kwa kuto kutekelzea haja yako uwezo kano wakupata mzigo ulio point kwa asilimia mia tunafanya hivyo kwa muda mrefuNa ukitaka kuagiza mzigo ukiwa mkoani utaratibu unakuwaje?
Nimekupata mkuu, laki tano hatufanyi biashara??Picha yake kama ile mkuu tofauti ni kuwa hii ina free Chanel ndani mkuu, nadhan umenipata
Asante kwa ufafanuzi mzr bosiTaratibu nizakawaida iko hivi kama utakua na imani ndogo unaweza kumtumia Jamaa yako alieko dar aje ofisini mzigo ulioagiza zen unamtumia hela yy ndio anatupa sisi kama utaniamini unanielekeza mkoa husika mm jioni naupeleka kwenye basi lolote au utakalo chagua ww kumbuka mm nikampuni ww n mteja mmoja siwez kuharibu brand kwa kuto kutekelzea haja yako uwezo kano wakupata mzigo ulio point kwa asilimia mia tunafanya hivyo kwa muda mrefu
hiyo ni kg2.5![]()
Price takufanyia 300,000tu
Poa mawasiliano muhim mkuuHapo sawa! nitakuja kuichukua kesho
Mkuu kwa bei hiyo unaninyonga niamini takupa kampuni nyingine wala hutojuta nakupa motv au starxNimekupata mkuu, laki tano hatufanyi biashara??
Mkuu upo vizuri na huna longolongo, hakika ndicho online business inachotaka. Printer za Epson A3+ za photo, zenye mitungi ya wino attached unazo?