INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

Duka gani pale Mkuu?
Na Maduka ya Posta VAT yake "iko juu" kuliko VAT ya kariakoo kaka 😀😀
Hapa ni bei labda mkuu alimaanisha ila VAT ya POSTA sawa na K/KOO na MBAGALA na hata KOLOMIJE (18%)
 
Hapa ni bei labda mkuu alimaanisha ila VAT ya POSTA sawa na K/KOO na MBAGALA na hata KOLOMIJE (18%)
Nalijua hilo Wakuu,
Hiyo meseji ina Joke ndani yake, pia nimeweka "..........." kwenye neno iko juu kumaanisha ninajua ninachokiandika,
 

Fridge Boss mlango mmoja
nzuri na ya kisasa
ina pooza na kugandisha haraka
price 385,000
 
Mkuu Naulizia Mashine ya kufulia na Kukausha nguo na bei yake!
 
vipi? Nataka flat ya inch thelathin na mbili ya bei nafuu zaidi ila yenye kingamuzi ndani, ntapata ipi na ni shngap na ubora wake ukoje? Ina warrant?
 
vipi? Nataka flat ya inch thelathin na mbili ya bei nafuu zaidi ila yenye kingamuzi ndani, ntapata ipi na ni shngap na ubora wake ukoje? Ina warrant?
yenye free channel ipo l
kampuni ya digital bei 450,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…