INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

Zote 4 ni gas au pia lina umeme?

Je oven inatumia gas.

Nijibu nijue kama ina meet expectations zangu
Zote gas ila zipo mbili gas mbili Umeme oven inatumia umeme
 
Mkuu Nimekupata, so kwa hii kilo tano niliyonayo kwa sasa, nitafute ngapi niongezee nije nichukue hyo sumsung.
 
hili plate nne zote gas na oven inatumia gas price
600,000
 
ikiwa ofisini baada ya kupointiwa ndio jiko la gas lenye oven inayo tumia gas pia
Price 600,000
 
Nimekuamin ww mkuu, hzo walizotaja cjui starx, smart nimewapuuza, nifanyie fair hyo sumsung, nitakuwa mteja wako na nitakutafutia vichwa kibao tuu kwa bidhaa zenu,.
Mr nimekufanyia 580,000 unaona nakuuwa laiti ungejua faida inayo patikana ungekuwa na huruma mm takushushia kumi tu kama utashindwa itakua sio ridhiki yangu
 
Mkuu Nina shida na speaker / woofer za gari full nipe picha zake na garama zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…