Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 7,093
- 11,377
Jumla shingapiL220 utapta pc lenovo hy unayo hitaji ipo 420,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jumla shingapiL220 utapta pc lenovo hy unayo hitaji ipo 420,000
Hy printer n milioni moja kamiliJumla shingapi
250000/= cash inalipa?Nisha kuwekea mkuu n 350,000
Hata kwa uwiano mkuu kupungua laki nzima inawezekana250000/= cash inalipa?
Mkuu au huajelewa, printer nahitaji l220Hy printer n milioni moja kamili
We u namaanisha ipiMkuu au huajelewa, printer nahitaji l220
Zote 4 ni gas au pia lina umeme?jiko gas plate 4 lina oven![]()
Price 430,000tu
Zote gas ila zipo mbili gas mbili Umeme oven inatumia umemeZote 4 ni gas au pia lina umeme?
Je oven inatumia gas.
Nijibu nijue kama ina meet expectations zangu
cja kusoma mkuu kwahio 250 sitoboi au vpHata kwa uwiano mkuu kupungua laki nzima inawezekana
Mkuu Nimekupata, so kwa hii kilo tano niliyonayo kwa sasa, nitafute ngapi niongezee nije nichukue hyo sumsung.Afu kingine starx smart kuanzia nchi 43 32 hawana na huwezi kupata smart nchi 32 kwa laki nne abadani ukipata nafuu sana labda mwisho laki nne na 85 za rising ouling na kampuni nyingine zinazo toa nchi 32 smart isipo kuwa Samsung, Panasonic, sonny, lg, tcl , hizi bei zao huwa juu kama kuna starx nchi 32 smart labda toleo LA mwezi huu
Fanya hata tatu na ishirinicja kusoma mkuu kwahio 250 sitoboi au vp
Huja chukua hy starxMkuu Nimekupata, so kwa hii kilo tano niliyonayo kwa sasa, nitafute ngapi niongezee nije nichukue hyo sumsung.
Mkuu hiyo bei umekosea digits au ni bei ya majiko yote kwa ujumla?![]()
![]()
![]()
![]()
Majiko ya gas plate 2
950,000
Nimekuamin ww mkuu, hzo walizotaja cjui starx, smart nimewapuuza, nifanyie fair hyo sumsung, nitakuwa mteja wako na nitakutafutia vichwa kibao tuu kwa bidhaa zenu,.Huja chukua hy starx
Jiko moja ni sh 950,00 tuMkuu hiyo bei umekosea digits au ni bei ya majiko yote kwa ujumla?
Mr nimekufanyia 580,000 unaona nakuuwa laiti ungejua faida inayo patikana ungekuwa na huruma mm takushushia kumi tu kama utashindwa itakua sio ridhiki yanguNimekuamin ww mkuu, hzo walizotaja cjui starx, smart nimewapuuza, nifanyie fair hyo sumsung, nitakuwa mteja wako na nitakutafutia vichwa kibao tuu kwa bidhaa zenu,.