Nmekupata mkuu,Nahitaji friji dogo kiasi ujazo kama litre 165-175 hivi,milango miwili.Nafikiri utakuwa umenipata freshi.Kuanzia saa2 usiwe nashaka tutakufanyia bei nzuri kwetu huduma bora nisehem ya jukumu letu
Nashukuru mkuu nimeziona je bei inaweza kushuka?mm niko na 1.5m unasemaje?pili uko na oven na kiasi gani yaani uko na vitu vyote vya bakers.shukran
NdiyoMkuu hio machine ya pop cone inatumia pia na gas!
Laki sita nanusuNmekupata mkuu,Nahitaji friji dogo kiasi ujazo kama litre 165-175 hivi,milango miwili.Nafikiri utakuwa umenipata freshi.
Nmeshindwa kuitafuta picha ili ni quote coz nipo na haraka kidogo.
Kama umenielewa naomba bei yake mkuu.
Oven unataka kubwa au ndogoNashukuru mkuu nimeziona je bei inaweza kushuka?mm niko na 1.5m unasemaje?pili uko na oven na kiasi gani yaani uko na vitu vyote vya bakers.shukran
Oven size ya kati .pop machine last price ngapi hio ya gas!
Inategemea aina ya deki na redio unayotakaNahitaji iyo ouling Tv inch 32,Deki na Radio utanifanyia kiac gani
Karibu sana 0672852415 muhim mawasilianoTutakuja kununua
Wewe tu tuombe uzimaOk! Nikiwa tayar ntakucheki uniletee ivo vitu
580,000Nmekupata mkuu,Nahitaji friji dogo kiasi ujazo kama litre 165-175 hivi,milango miwili.Nafikiri utakuwa umenipata freshi.
Nmeshindwa kuitafuta picha ili ni quote coz nipo na haraka kidogo.
Kama umenielewa naomba bei yake mkuu.