INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

Kuanzia saa2 usiwe nashaka tutakufanyia bei nzuri kwetu huduma bora nisehem ya jukumu letu
Nmekupata mkuu,Nahitaji friji dogo kiasi ujazo kama litre 165-175 hivi,milango miwili.Nafikiri utakuwa umenipata freshi.
Nmeshindwa kuitafuta picha ili ni quote coz nipo na haraka kidogo.
Kama umenielewa naomba bei yake mkuu.
 
Nmekupata mkuu,Nahitaji friji dogo kiasi ujazo kama litre 165-175 hivi,milango miwili.Nafikiri utakuwa umenipata freshi.
Nmeshindwa kuitafuta picha ili ni quote coz nipo na haraka kidogo.
Kama umenielewa naomba bei yake mkuu.
Laki sita nanusu
 
Nahitaji iyo ouling Tv inch 32,Deki na Radio utanifanyia kiac gani
 
Nmekupata mkuu,Nahitaji friji dogo kiasi ujazo kama litre 165-175 hivi,milango miwili.Nafikiri utakuwa umenipata freshi.
Nmeshindwa kuitafuta picha ili ni quote coz nipo na haraka kidogo.
Kama umenielewa naomba bei yake mkuu.
580,000
 
bei ya offer mziki wa maana sio wa kukosa
Price 190,000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…