Amani mfaume
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 3,275
- 1,412
- Thread starter
-
- #921
Sonny au LG watt1000Mkuu home theatre ipi inaweza funga mtaa?. Nina jiran ananipigia kelele na subwoofer saa kumi na moja asubuhi ashaliwasha
Kuna sansan kiptech pinetech nkaina gani boss zipo
Hata mie hapo hapo, water pump, kiasi gani mkuu?Water pump ni kiasi gani?
420,000 nch tatuHata mie hapo hapo, water pump, kiasi gani mkuu?
Vitu vigumu kama vipi?Maana mimi nahitaji brender ya kusagia vitu vigumu kama vile viungo vya magome ya mtiNi brenda ndogo kwajili ya kusagia vitu vigumu
Price 95,000
Ndio hiyo mkuu kila kitu kigumVitu vigumu kama vipi?Maana mimi nahitaji brender ya kusagia vitu vigumu kama vile viungo vya magome ya mti
Sawa siku yeyote ya jumamosi ntakuja ofisini kwako inshaalahNdio hiyo mkuu kila kitu kigum
Haya 0672852415 ukija mawasiliano muhimSawa siku yeyote ya jumamosi ntakuja ofisini kwako inshaalah
PoaMkuu nilikuja kuchukua ile blender siku ya j3, nilikutafuta kwa hii no hkupatikana kabisa, na mvua ilikuwa balaa, nilichukua duka jingine, kampuni ya BISH.
Fridge milango miwili upande mmoja friza upande mmoja friji
Price 2530,000
Hiyo ndio bei yakePunguza bei na angalia uwezekano wakuwa unasafirisha mpaka mikoani, ili tukuunge mkono
Haipungui? na kulisafirisha hadi AR ni kiasi gani in total?Hiyo ndio bei yake
Kuna inayo fika kiunoni 400,000 na ndefu inayo fika kwny mabega 600,000ndugu, mna Frij za boss size ya kati milango miwili? kama mnayo bei gan?
PoaHaipungui? na kulisafirisha hadi AR ni kiasi gani in total?
Ngoja nifuatilie bei ya hapa mjini, Bei yako ikiwa sawa na ya hapa ntakuunga mkono.
Sasa huku umekuja kufuata nini SMHkariakoo mimi huwa nanunua electronics kwa authorized dealers tu, masuka mengi hapo ni kanjanja