kodian
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 977
- 1,106
Ni aina gan hii mkuu friji na vp derived kw mteja inakuajeFridge ndogo![]()
Price 280,000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni aina gan hii mkuu friji na vp derived kw mteja inakuajeFridge ndogo![]()
Price 280,000
Mkuu nimekupata ila Samsung na lg Havana inch 40 zipo inch 43 bei million moja na nusu pia ipo kampuni ya tcl inch 40 bei laki nane na tisini natano na inch 43 laki tisa na elfu stini Brenda yakusagia vitu vikavu bei lakimbili mkuuMkuu nimesoma kila comment,unajitahidi sana. Me nataka samsung smart flat screen inch 40 au lg. Nipe bei nije kuchukua. Nataka pia blender ya kusaga vitu vigumu km karanga. Hiyo blender km ipo niwekee picha na bei mkuu..!
Tunafanya ndio popote TanzaniaNi aina gan hii mkuu friji na vp derived kw mteja inakuaje
ok.km una picha ya hiyo blender niwekee mkuu.Mkuu nimekupata ila Samsung na lg Havana inch 40 zipo inch 43 bei million moja na nusu pia ipo kampuni ya tcl inch 40 bei laki nane na tisini natano na inch 43 laki tisa na elfu stini Brenda yakusagia vitu vikavu bei lakimbili mkuu
Naweza kupata hii tv na fridge guard?![]()
![]()
Fridge guard na TV guard linda tv n friji kwa matatizo ya umeme kukatika na kurudi ghafla
Price @ 35,000
Nisha iwekaok.km una picha ya hiyo blender niwekee mkuu.
aina gani hii...![]()
![]()
Price 400,000
aina gani..![]()
Price 400,000
Sansanaina gani..
Pinetechaina gani hii...
NIMEIPENDA HII BRENDA MKUU VIPI BEI HAIPUNGUI NA MKO KARIKOO HIPI NA JE MNAZO NA OVEN![]()
Brenda za kisasa
Price 210,000
UNAYO WATER PUMP MASHINE NAYO BEI GANI PAMOJA NA OVENHakuna shaka wateja wapo nashukuru mungu japo waoga kuamini juzi kuna nilimtumia arusha akanambia usichangie kwenye mambo yanayo husu serikali watakuteka ahahhahah
Bei nimeandika mkuu lakinneUNAYO WATER PUMP MASHINE NAYO BEI GANI PAMOJA NA OVEN
Popcorn machine unazo za aina hiyo kama unazo za aina nyingine waweza ziweka na gharama zakepopcorn machine![]()
Price 350,000
Zipo aina kama nne bei n mojaPopcorn machine unazo za aina hiyo kama unazo za aina nyingine waweza ziweka na gharama zake
Hatuna usede mkuuNauliza full desktop used computer ya specification HDD 160gb Ram 2gb cpu 2ghz flat lcd bei zake.