INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

Mkuu kwakweli nilitaka hyo sumsung, sina hakika hzo nyingine kama zina ubora kama Samsung, offer yangu ni laki tano so kama hailipi wacha nitafute tafute zaidi nitakapopata ya kuongezea nitakustua man.
Huwezi pata smart kwa bei hyo mkuu hata kiwandani labda upate fake na zipo hata laki nne utauziwa ila kama unataka Samsung original yenye warrant card sidhani na kwa uzoefu wangu sijawahi kuona ila soko uria unaweza kwenda popote huenda utapta leo kuna mmoja kauziwa lg fake anataka ushauri baada ya kuumizwa mkuu nakukumbusha sitaki upate hasara ukiipta kwa bei hy kwanza akupe warrant card pili kama unaijua Samsung fananisha logo yake ikiwaka au nje ya screen ila hizo starx, tcl , na mo TV zinakila kitu kinacho ifanya iwe bei ya chini ni kampuni mkuu kwasabab hzo Samsung zili ji brand miaka mingi hizo starx niza sasa jaribu kupitia wanao zitumia wakupe majibu
 
b0403eb9a50c40f6bdbf4e1c6b94d876.jpg


Nataka hii ya smartphone mkuu
Nitajie na bei [emoji737]
 
Kama unataka nikuuzie yangu bado mpya nipo bize huwa siitumii sana
 
e94b116bec98be19a206436cf0074a93.jpg

Fridge size yakati lg new model haitumii stabilizer warrant miaka 10
Price 1500,000
 
003a6410282bc6960ce71a42848b3e8e.jpg

Kwa anae hitaji otg cable mpya used hiyo nayo tumia
 
Back
Top Bottom