INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

Mkuu naomba kujua bei za led /hd tv inch32-50 ambaZo zitafaa kwa ajili ya banda la kuonesha mpira bei zake zipoje?na kampuni gani?
Naweza pata projector yenye hour2500-3000 kwa ajili ya kuonyeshea mpira kwa bei gani?
 
Mkuu naomba kujua bei za led /hd tv inch32-50 ambaZo zitafaa kwa ajili ya banda la kuonesha mpira bei zake zipoje?na kampuni gani?
Naweza pata projector yenye hour2500-3000 kwa ajili ya kuonyeshea mpira kwa bei gani?
Chukua Starx nch 43 matumizi ya banda la mpira inatosha kabisa takupa kwa bei ya ofa kabisa ushindwe wewetu afu hiyo projector ipo accer 760,000
 
f25def10afddb8fecb94e83dfd8cc52b.jpg
757e05400639d21913f3c73f3783c9c7.jpg
rice cooker yenye food steamer
Unaweza kuivisha kuku samaki mayai ya kuchemsha mboga za majani huna haja ya kununua food steamer
Price 125,000
 
49acdc6b166b4675e3659066802208ef.jpg
30c175da047413075177f51cc60cbf96.jpg
3549912c1f6babc349077b91301aec1c.jpg
c7dcad68557c2d91b6644b0e52dc9cc0.jpg
8590cdda4e35d03ccde85ec212839a6b.jpg
a024d417f17ea0e5003debc28365ebe2.jpg
d961914195998433e10857be43351970.jpg
Toyota markx ipo sokoni tanzania imetumika miezi mitano ipo mkoani arusha
Price 950,000,0
 
Mkuu una DIGITAL AUDIO IN OPTICAL CABLE? Kama zipo ni bei gani? Nina safari ya kuja K/koo masaa machache yajayo nikutafute
 
Back
Top Bottom