INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

INAUZWA Jipatie bidhaa kutoka kwetu kwa bei nafuu, tupo Kariakoo

b63be54efd79d569cc771bd90ed076a3.jpg
982fb28cc23d13b93c07ed6968af166a.jpg
91c8309b18ba2f8e3349470e1a7d41be.jpg
 
Amani mi nataka kujua kama una vifaa vifuatavyo unitajie bei, mashine nzuri (heavy duty) ya kunyolea saluni, blower (inapulizaga vinywele au kukausha baada ya kunyolewa, kukaushwa na kufutwa), viti vya kuoshea mtu aliyenyolewa, generator. Nitajie bei za used na new kama unazo both
 
Amani mi nataka kujua kama una vifaa vifuatavyo unitajie bei, mashine nzuri (heavy duty) ya kunyolea saluni, blower (inapulizaga vinywele au kukausha baada ya kunyolewa, kukaushwa na kufutwa), viti vya kuoshea mtu aliyenyolewa, generator. Nitajie bei za used na new kama unazo both
machine heavy duty ni used bei 90,000
1eb6be5d32c590a2e665b0e143747e45.jpg
7682359de01c9d57efc772076cd0596a.jpg
generator ni mpya
8a11a13369a8d4891ab1a876e32e5e6d.jpg
e179ec6b7cb3795260669b541db08fe1.jpg
bei 400,000 viti vya saloon kwa sasa hatuna ila ukija takuelekeza vinakuzwa bei nafuu
handing drayer 65000
72c9d2c63c94d9bc8e7544cc11127efd.jpg
 
microwave oven manual yakisasa zaidi
price 200,000
 

Attachments

  • Boss.jpg
    Boss.jpg
    29.6 KB · Views: 80
idd.jpg

jipatie jiko la gas na umeme plate 4
plate 2 umeme

plate 2 gas
oven inatumia gas
price 500,000
 
Duka gani pale Mkuu?
Na Maduka ya Posta VAT yake "iko juu" kuliko VAT ya kariakoo kaka 😀😀
VAT ni asilimia 18 sehemu yoyote kwahiyo haiwezi kuwa chini sehemu fulani na kuwa juu sehemu nyingine.

Bei ya bidhaa ndio ina determine VAT yake iwe kiasi gani.

Mfano ukinunua bidhaa ya shilingi 300,000 VAT yake haiwezi kuwa sawa na VAT ya bidhaa ya shilingi 100,000
 
Back
Top Bottom