Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaa, kama hali yenyewe ndiyo hii basi ndiyo maana tunasikia ukarabati wa kile kivuko tunapigwa.View attachment 1284881
Tuwekeze kwenye Uvuvi hii ni boat ya uvuvi ya kisasa ndani mzuri sana kuna vifa vya kisasa vya uvuvi ndani iko bomba ya kijanja sana kuwa wakwanza kuimiliki
1.Ina vifaa vyakuta samaki na ktambua walipojificha
2.Kutambua aina ya Samaki
3.Wingi wa samaki
4.Nyavu a kisasa za kunasa Samaki
5.Speed
6.Fulu kiyoyozi
Bei yake M 10
Sijakuelewa mkuu una maana gani?Daaa, kama hali yenyewe ndiyo hii basi ndiyo maana tunasikia ukarabati wa kile kivuko tunapigwa.
Umeona ile meli inauzwa shs ngapi mkuu? NA...Sijakuelewa mkuu una maana gani?
Sijaona conection anyway kwema boss wanguUmeona ile meli inauzwa shs ngapi mkuu? NA...
tumepeleka kukarabati kivuko huko nje ya nchi kwa shs ngapi?
Website. Mbona hujaweka sasa
digxam.co
Sijui nakosea wapi kwenye kujisajili kwenye huo mtandao nisaidieni please
digxam.co
Website haipatikani boss,
KaribuHabari mkuu,kimya sana bado mpo.
Tupo mkuu karibuKaribu
Sio kweliWebsite haipatikani boss,
Hivi mnatoa huduma ya Transportion from Japan to Tanzania hata kama nimenunua spare parts kwa supplier mwingine? If yes gharama zenu mnacharge vipi?
Hii boat imeuzwa ila kama unahitaji ingia hapa www.dogxam.site ukutena na sellers wa boat kisha nitakuasafirishia.View attachment 1284881
Tuwekeze kwenye Uvuvi hii ni boat ya uvuvi ya kisasa ndani mzuri sana kuna vifa vya kisasa vya uvuvi ndani iko bomba ya kijanja sana kuwa wakwanza kuimiliki
1.Ina vifaa vyakuta samaki na ktambua walipojificha
2.Kutambua aina ya Samaki
3.Wingi wa samaki
4.Nyavu a kisasa za kunasa Samaki
5.Speed
6.Fulu kiyoyozi
Bei yake M 10
bado umeshindwa?Sijui nakosea wapi kwenye kujisajili kwenye huo mtandao nisaidieni please