Shukran mkuu ngoja nianze nazo..
Ila ni zipi function zinatumika saana katika project kama hii ya kwako...
Yaani uwezo wa kuliko data ya sheet moja na sheet nyingine...
!?
Unaanza na sheet name kabla ya jina la cell, baada ya sheet name unaweka alama ya ! Mfano =A5+'setting'!B7
Njia rahisi ni ya kuselect sheet kwenye sheet tab (ukishaandika =A5+ unaselect sheet unayotaka then unaselect cell)
Pia unaweza ukalink data ambazo zipo kwenye workbook tofauti tofauti
Hiyo sio function, hiyo ni formula.Mkuu tafuta Uzi wowote wa Excel utakuta comments zangu. Niulize kupitia hizo thread kwa kuni-quoteShukran mkuu... Kwa iyo nkitaka kuisoma mitandaon hii condition sijui function huwa inaitwaje kitaalamu mkuu?
poa, kiongozi nitakutafutaNdio, hata ukitaka nikutengenezee database itakayorecord data za miaka 50 mbele naweza. Nicheck PM au tumia email yangu hapo juu
Miaka ya nyuma ulikuwa unatumika lakini kwa sasa sifahamu (Mimi sio mwalimu). Nimeweka kama optional ili mtu aamue mwenyewe, angalia kwenye picha za report hapo juuKuhusu penati mkuu huo mfumo bado unatumika ? maana mwaka huu kuna madogo wana F math na division imebaki vile vile na hata ukihesabu point sawa
Nimekusoma saana mkuu... Iyo nilishafanya ila bado tatizo likawa lipo...Select header ya column husika, then right click kisha chagua format cells. Kwenye data type badili hiyo general, chagua date kisha tafuta date format ambayo utakuwa unatumia kujaza birthday date zako
Nikihitaji ya A level kupanga matokeo ya shule zaidi ya moja bei gani?Okoa muda, rahisisha mambo,kuwa tofauti na wengine. Hii sio software, ni Ms excel, haina malipo ya ziada utaitumia Maisha yako yote
Nashukuru saana mkuu nimeeelewa vizuur saana nkienda job weekend au j3 nitaifanyia kazi mkuu... Shukran saana ubarikiwe... Ngoja nikikamilisha hili ntakuungisha templates zile mkuuHapo haiwezekani , hata kama utabadilisha date format sio kwamba hizo tarehe zitajibadilisha zenyewe kwenda kwenye miezi na miezi kwenda kwenye tarehe,kuset format ilibidi uifanye kabla ya kuanza.
Suluhisho ni kuweka column tatu ambazo zitakuwa na heading ya date,month,year then kwenye column ya Age utaandika hii formula
=DATEDIF(DATE(D4,E4,F4),TODAY(),"y") ambapo column D itakuwa ni date,column E ni month na column F ni year
Baada ya hapo sasa, ivunje hiyo column ya birth date kwa kutumia text to column ili tarehe,mwezi na mwaka vijitenge na kuingia kwenye hizo column tatu ulizoziinsert. Hapo sasa ndo ufanye evaluation japo haitowezekana kuzirekebisha zote kwa sababu hutoweza kutrack error kama tarehe iliyojazwa kimakosa ipo kwenye mwezi na ni chini ya 12. Mfano unaweza ukaandika kwenye column ya pembeni, =IF(E4>12,"error","") then ukadrag mpaka chini,ambapo column E ni column za miezi so ikileta hilo neno la error unafanya exchange ya date na month.
Pia tumia input message ambayo ipo kwenye data validation kama user instruction( mtu akiclick cell, text box inadisplay ambayo inampa maelekezo) vinginevyo tumia freeze pane ili mtu anaposcroll down,heading za column ziendelee kuonekana. Nimeelezea juu juu lakini nina imani utakuwa umeelewa
Nikisema nitengeneze template mwenyewe kwani nashindwa?Ofa bado inaendelea
Yaap. Natengeneza mwenyewe babu.unaweza