Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good morning all....naomba mwenye complete ya S7 anitafute(kioo cha juu & cha ndani)Midterm inakaribia, hakikisha muhula huu haukeshi usiku kwa ajili ya kuprocess matokeo ya wanafunzi. Kamata template yako mapema, urahisishe kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ya payroll inafanya kip na kip..japo kwa ufupiSawa ndugu, karibu sanaView attachment 1710175
Sawa, ngoja nimwambie mdauHapana ndg, hii haitumii internet kabisa
Mi nataka kuwa expert wa Excel beginner skills ninazo nataka advanced stage .Kwa level ya beginner utatumia nguvu nyingi kuelewa kama utatumia njia ya kusoma vitabu. Kwa sasa tumia njia ya video (YouTube) au mtu akufundishe ana kwa ana mpaka pale utakapokuwa na basics za kutosha
Hii nahisi itanifaa kwa biashara yangu ninayopanga kuianzisha.
Fanya kuitengeneza basi ya pharmacy ikiwa tayari naomba unitag basi mkuuNafikiria kutengeneza template nyingine ambayo itakuwa special kwa ajili ya Pharmacy, iwe na feature mbali mbali zinazohusiana na hiyo biashara ikiwemo hiyo ya kutrack dawa zilizoexpire. Kama utakuwa umeridhika nayo ikiwa hivyo hivyo tuwasiliane
Sent using Jamii Forums mobile app
PM YAKO INAHUSIKA.Ofa ya leo
Jipatie template yoyote kwa punguzo la asilimia 4.26
Ni PMKutana na mtaalam wa Ms Excel ujipatie template mbali mbali, kama unashindwa kufanya baadhi ya task kutokana na limitations za Ms Excel pia tuwasiliane ebusiness.excel@gmail.com
Mkuu habariUnaanza na sheet name kabla ya jina la cell, baada ya sheet name unaweka alama ya ! Mfano =A5+'setting'!B7
Njia rahisi ni ya kuselect sheet kwenye sheet tab (ukishaandika =A5+ unaselect sheet unayotaka then unaselect cell)
Pia unaweza ukalink data ambazo zipo kwenye workbook tofauti tofauti
Samahani ....formula ya kuhamasha majina ni ipi?Habari ni nzuri mkuu, karibu
Kama ni kuhamisha tu, haina haja ya kutumia formula.
Select cells zako>>Right click >>Cut>>Select first cell unayotaka majina yako yaanzie>>Right click>>Paste
Au
Select cells zako >>Ctrl+X>>Select first cell unayotaka majina yako yaanzie>>Ctrl+V
Formula ya top ten ni ipi mkuu?Kama ni kuhamisha tu, haina haja ya kutumia formula.
Select cells zako>>Right click >>Cut>>Select first cell unayotaka majina yako yaanzie>>Right click>>Paste
Au
Select cells zako >>Ctrl+X>>Select first cell unayotaka majina yako yaanzie>>Ctrl+V
Ukiweka mawasiliano yako ya simu ingekuwa poa zaid response ya email huwa ipo weak sana na hasa kwa biashara za sasa.Shukrani ndg, karibu sana