Sasa bila dish kinashikaje?Decorder bila dish wala kifurushi ni 100k tu.
Kifurushi cha mwezi ni 46k
Popote ndani ya nchi unaagiziwa mzigo.
Mawasiliano 0629439450
Mzee unaweza kutumia dish hata la Azam, hata la Dstv hata la StarTimes.Sasa bila dish kinashikaje?
Tunajiungaje na kifurushi mkuuKaribu sana Boss
HahahaaMzee unaweza kutumia dish hata la Azam, hata la Dstv hata la StarTimes.
Ila unabadilisha uelekeo tu.
Kuna jamaa yangu ghetto kwake nje kafunflga dish la Dstv jipya ila ndani anatumia StarTimes😁😅
Kikiisha inabidi nikutafute tena?Nafanya kazi hiyo ya kuunga (kulipia) vifurushi pia.
Nilitaka kuuliza hili swali. Ngoja tusubiri majibu.Kinashika channel ngapi?
Swali zuri👍🏽Kikiisha inabidi nikutafute tena?
Kwa nijuavyo Malipo ni kama unavyolipia Azam na Dstv kwa mwezi..so inabidi umtafuteKikiisha inabidi nikutafute tena?