Jipatie King'amuzi cha Canal Plus

Jipatie King'amuzi cha Canal Plus

Kama nahitaji na dish inakua kiac gan
 
Mleta mada upo? Hivi ukitaka kubadili lugha kwe Canal+ kama tunavyofanya dstv unafanyaje hebu lete hatua za kufuata?
 
Wakuu, hebu tupeni experience ya hiki king'amuzi, kwenye sports kwa ujumla. Maisha yanasonga freshi tuu na ki-French?

Apart from football, boxing matches zipo?MMA/UFC?
 
Mzigo mpya umefika...
Decorder 100k tu
0629439450
20231119_193839.jpg
20231119_193859.jpg
20231119_193927.jpg
 
Hawez kujibu 😅😅 ye mwenyewe hajui
🤣🤣🤣🤣 sema jamaa wanatupiga sana.

Niliwasiliana na agent wa hivi ving'amuzi. Jamaa anasema Canal+ complete, yaani dishi na decoder ni Tsh 150,000/=
Ukija hapa sasa, jamaa anakwambia hana dishi zipo decoder tu.
One day nilipishana na jamaa pale Makumbusho Bus Stand amebeba dishi jipya la Canal+ mpaka nikajiuliza huyu jamaa kanunua wapi?
Nikatinga Kariakoo nimetafuta sana kila kona, hakuna.
 
Back
Top Bottom