Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bure au ni hela tena?Nafanya kazi hiyo ya kuunga (kulipia) vifurushi pia.
WalisemajeMbona Dstv juzi wametoa onyo Kali mpaka nimeogopa adse
Haiwezi kuwa bure mkuu, atakusaidia kufanya malipo tuBure au ni hela tena?
Hapo sawaHaiwezi kuwa bure mkuu, atakusaidia kufanya malipo tu
Now unatumia MPESA kufanya malipoKwa nijuavyo Malipo ni kama unavyolipia Azam na Dstv kwa mwezi..so inabidi umtafute
Unalipia kupitia wapi?Canal nnacho na nnalipia 40 Kwa mwezi mkuu hyo 46 wizi
SahihiNow unatumia MPESA kufanya malipo
Tupe muongozo mkuu turahisishe na sisi tunaohangaikaNow unatumia MPESA kufanya malipo
Tunataka na dishMzigo mpya umefika...
Decorder 100k tu
0629439450View attachment 2819589View attachment 2819590View attachment 2819591
Kanali_ jibu swali hiliWakuu, hebu tupeni experience ya hiki king'amuzi, kwenye sports kwa ujumla. Maisha yanasonga freshi tuu na ki-French?
Apart from football, boxing matches zipo?MMA/UFC?
Hawez kujibu 😅😅 ye mwenyewe hajuiKanali_ jibu swali hili
🤣🤣🤣🤣 sema jamaa wanatupiga sana.Hawez kujibu 😅😅 ye mwenyewe hajui