Jipatie King'amuzi cha Canal Plus

Jipatie King'amuzi cha Canal Plus

🤣🤣🤣🤣 sema jamaa wanatupiga sana.

Niliwasiliana na agent wa hivi ving'amuzi. Jamaa anasema Canal+ complete, yaani dishi na decoder ni Tsh 150,000/=
Ukija hapa sasa, jamaa anakwambia hana dishi zipo decoder tu.
One day nilipishana na jamaa pale Makumbusho Bus Stand amebeba dishi jipya la Canal+ mpaka nikajiuliza huyu jamaa kanunua wapi?
Nikatinga Kariakoo nimetafuta sana kila kona, hakuna.
Hawa wajanja wajanja sana
 
Nasikia Canal+ walipigwa marufuku hapa Tanzania ndio maana unaona mawakala wanauza decoder pekee, ukiuliza kuhusu masuala ya dishi wanakwambia tumia hata la Azamtv, StarTimes, Dstv, Zuku au Continental😁😁😁
Wameshapigwa marufuku na ndo maana hata decoder zao wengine wanatumia kwa matumizi mengine 😅😅
Hawaruhusiwi hawa Na TCRA
 
Niliwasiliana na ajenti yupo Bunjumbura anasema gharama ya kifurushi ni 40k kama sio 43k
Ni channel zooote
Channels zote kivipi,yaani vifurushi vyote ni 43k? Acha uongo Mkuu,channel zote za mpira kifurushi cha Evasion ndio 43k,premium ni 100k+ ambapo unapata package yote mpaka za pilau live from France.
 
Baada ya mapumziko mafupi kupisha michezo ya team za taifa sasa Ligi pendwa Duniani zinarejea weekend hii.
Jipatie king'amuzi cha Canal plus kwa 100k tu (Decorder pekee) ushuhudie kwa ubora wa HD michuano ya UEFA, EPL, SERIE A, LALIGA, BUNDES LIGA, LIGUE 1, CAFCL n.k!
Kifurushi cha mwezi ni 50k tu.
Mawasiliano: 0629439450
20231119_193927.jpg
 
Nasikia Canal+ walipigwa marufuku hapa Tanzania ndio maana unaona mawakala wanauza decoder pekee, ukiuliza kuhusu masuala ya dishi wanakwambia tumia hata la Azamtv, StarTimes, Dstv, Zuku au Continental[emoji16][emoji16][emoji16]

Unatumia na dish lolote la azam, dstv, star times nilishakuwa nayo sana na dishi la startime nikauza sikuwa na muda wa kuangalia mpira.
 
Hapo ndio shida ...
Siyo shida mkuu, mbona watu wanalipia kwa njia hiyo na hakuna shida yoyote!? Wote wenye Canal plus hiyo ndo namna pekee ya kulipia na hawapati usumbufu.
 
Back
Top Bottom