Jipatie King'amuzi cha Canal Plus

Jipatie King'amuzi cha Canal Plus

Mimi nilikuwa nacho! Changamoto kuripia, mimi nilikuwa namtumia pesa mtu yupo DRC anilipie...nimekiacha.
 
Mimi nilikuwa nacho! Changamoto kuripia, mimi nilikuwa namtumia pesa mtu yupo DRC anilipie...nimekiacha.
Ukitaka kufurahia Canal Plus nunua kilichosajiliwa Burundi. Kulipia Burundi ni rahisi sana, kuna mawakala wa Kibongo lkn pia unaweza kutuma pesa Burundi kirahisi sana maana wanatumia Mpesa na Tigo Pesa.
 
Bi
Ukitaka kufurahia Canal Plus nunua kilichosajiliwa Burundi. Kulipia Burundi ni rahisi sana, kuna mawakala wa Kibongo lkn pia unaweza kutuma pesa Burundi kirahisi sana maana wanatumia Mpesa na Tigo Pesa.
Bill ya mwezi kuona EPL na UEFA bei gani
 
Nasikia Canal+ walipigwa marufuku hapa Tanzania ndio maana unaona mawakala wanauza decoder pekee, ukiuliza kuhusu masuala ya dishi wanakwambia tumia hata la Azamtv, StarTimes, Dstv, Zuku au Continental😁😁😁
Kwa mwendo huu wa Dstv hata South Africa ilianza hivi hivi kwa sasa wamepoteza kila kitu huko mpaka Kampuni Iko kuelekea kufirisika.
 
Kuna ongezeko la channel za SUPERSPORT kwenye dekoda ya CANAL, ongezeko hilo linafanya channels za SuperSport kufika 4, ambazo ni;
SuperSport Football Plus, CH116
SuperSport Football, CH117
SuperSport EPL, CH118
SuperSport La Liga, CH119

Hivyo baada ya ongezeko hilo, kuna baadhi ya mechi za UEFA hazitarushwa kwenye CANAL, zitarushwa kwenye SuperSport kwani channel za CANAL hazitatosha sababu zitakuwa zinachezwa nyingi kwa wakati mmoja

Kifurushi cha kuona channels zote za SuperSport na CANAL kwa sasa ni 55,000 tu, hivyo mteja unashauriwa kununua kifurushi hiki kwa sasa ili kuepuka kukosa baadhi ya mechi za UEFA

Channel hizo za SuperSport pia zitakuwa zikirusha;
UEFA Champions League
UEFA EUROPA League,
UEFA Conference League,
CARABAO Cup,
FA Cup nk
Call/WhatsApp: 0756232301
IMG-20240916-WA0032.jpg
 
Wakati Msimu wa ligi mbalimbali Duniani ukiwa umerejea, Canal Plus inakuwezesha kuangalia mechi zote kubwa katika ligi mbalimbali Duniani kama UEFA, EPL, LALIGA, SERIE A, BUNDESLIGA, LIGUE 1 n.k kwa gharama nafuu kabisa!
Jipatie King'amuzi cha Canal Plus kwa 100k tu ushuhudie live mechi mbalimbali kwa ubora wa Full HD
0714209702
20240923_100420.jpg
 
Wakati weekend ya moto ikiwadia, weekend ya kurejea kwa Ligi mbalimbali Duniani...nawakumbusha wadau wangu kulipia ving'amuzi vvyenu vya Canal Plus. Kuna kifurushi cha 48k na cha 55k.
Kwa wale wasio na king'amuzi cha Canal Plus muda ndo huu jipatie king'amuzi (decorder) kwa 100k tu ufurahie EPL, LALIĜA, BUNDESLIGA, SERIE A, LIGUE 1, UEFA, EUROPA, CARABAO n.k kwa bei nafuu kabisa!
NB: Muda wa ving'amuzi Vvya Canal kuadimika ndo huu so jichukulie chako mapema.
Call/WhatsApp: 0629439450

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Kwa wale wa Dar, Mzigo unapatikana mbezi beach (Mbezi juu) na zimebaki chache sana. Simu ziite wakuu. Mikoani (Mkoa wowote Tz) tunakutumia mzigo kwa uaminifu mkubwa.
0629439450
20240628_163322.jpg
 
Kwa wale wa Dar, Mzigo unapatikana mbezi beach (Mbezi juu) na zimebaki chache sana. Simu ziite wakuu. Mikoani (Mkoa wowote Tz) tunakutumia mzigo kwa uaminifu mkubwa.
0629439450View attachment 3136883
umeweka na namba kabisa ngoja nikuchome kwa TCRA Na DSTV kwa shelukindo unaharibu dili za DSTV kwa kisumbusi ambacho hakijasajiliwa bongo,ukinunua canal ni uhujum uchumi kesi nje nje kuweni makini
 
umeweka na namba kabisa ngoja nikuchome kwa TCRA Na DSTV kwa shelukindo unaharibu dili za DSTV kwa kisumbusi ambacho hakijasajiliwa bongo,ukinunua canal ni uhujum uchumi kesi nje nje kuweni makini
Punguza ujuaji.
 
Kwa wale wa Dar, Mzigo unapatikana mbezi beach (Mbezi juu) na zimebaki chache sana. Simu ziite wakuu. Mikoani (Mkoa wowote Tz) tunakutumia mzigo kwa uaminifu mkubwa.
 
Ukitaka kufurahia Canal Plus nunua kilichosajiliwa Burundi. Kulipia Burundi ni rahisi sana, kuna mawakala wa Kibongo lkn pia unaweza kutuma pesa Burundi kirahisi sana maana wanatumia Mpesa na Tigo Pesa.
Kwa hy ukiwa na mpesa au tigopesa unaweza kulipia canal+?
 
Back
Top Bottom