Computer4Sale Jipatie laptop yenye SSD storage, Core i5, RAM 8GB kuanzia 369,000 tu

Computer4Sale Jipatie laptop yenye SSD storage, Core i5, RAM 8GB kuanzia 369,000 tu

Habari mkuu, na shukran kwa swali lako zuri. Tuanzie hapa ili twende sawa, Refubrished laptop ni nini .?

"A refurbished item is a pre-owned product that's been evaluated, cleaned, repaired, upgraded (in some cases), and then resold"

Bidhaa zetu zote tunaiagiza kutoka China, Marekani na Dubai. Huko ndipo zinapofanyiwa matengenezo na marekebisho yote ya kabla ya kutumwa kuja kwetu. Hivyo nikuhakikishie tuu, Kwetu hakuna ulaghai wowote ule. Picha zote unazoona ninapost nimepiga katika bidhaa zetu na si za kudownload toka katika mitandao, na ndiyo maana unaona katika laptop zetu tulizonazo sasa kuna laptop zimekuwa upgraded na kuwekwa SSD wakati kiasili hazikutengenezwa toka kiwandani na SSD. Pia zina RAM 8 GB wakati hazikutengenezwa na RAM 8 GB. Haya yote yamefanyika huko tulipoutoa mzigo na si hapa nchini. Tumefanya haya yote kuhakikisha mteja anapata bidhaa bora yenye thamani sawa na pesa anayolipa.

Nikuhakikishie tuu, Karibu ufanye biashara nasi, Hutojuta kwani bei zetu ni nafuu chini ya bei za soko, bidhaa zetu ni bora na pia kwetu uaminifu ni mkubwa sana hata kama upo mkoani, mzigo wako tutakutumia kwa uaminifu mkubwa sana.

Kwa sasa tuna Vioo vya laptop, SSD aina zote, RAM za laptop

mkuu karibu tukuhudumie.
Una customer care nzuri sana,very professional
 
Karibu tukuhudumie. Laptop zetu zote zina SSD storage, 8GB RAM. Karibu tukuhudumie. Tunapatikana Machinga complex floor ya pili. Tupigie ama tutumie message whatsapp kupitia namba zetu 0753555055 ama 0714894798.

Instagram kwa picha zaidi ozonetechnologiestz

Laptop ni refubrished, lakini zetu zipo katika hali ya ubora mkubwa na usafi pasipo mikwaruzo.

Nimeambatanisha vipeperushi vyenye aina husika ya laptop vikiwa na bei, sifa na aina ya laptop husika.

Karibu tukuhudumie.

View attachment 2448664View attachment 2448665View attachment 2448666View attachment 2448667View attachment 2448668View attachment 2448669View attachment 2448670View attachment 2448671View attachment 2448672View attachment 2448673View attachment 2448674View attachment 2448675View attachment 2448676View attachment 2448677
Mkuu nahitaji laptop kwa matumizi ya kufundishia online..maana yake camera iwe quality kwa msikilizaji na mtazamaji upande wa pili..
Naomba unieleze Ni laptop gani itafaa kwa gharama ya sh. 500, 000/-
 
Mkuu nahitaji laptop kwa matumizi ya kufundishia online..maana yake camera iwe quality kwa msikilizaji na mtazamaji upande wa pili..
Naomba unieleze Ni laptop gani itafaa kwa gharama ya sh. 500, 000/-

Habari ndugu, Heri ya mwaka mpya 2023, natumai umeuona vyema kabisa.

samahani kwa kuchelewa kuuona ujumbe wako na kupelekea kuchelewa kukujibu. Kwa bajeti hiyo utapata laptop nzuri tuu yenye SSD storage, RAM 8 GB, 6th Gen processor na kuendelea.

Tutembelee upate changua itakayokufaa. Kuhusu camera za laptop kuwa na HD sina hakika sana juu ya hilo. Karibu nasi tutakuonesha aina mbalimbali tulizonazo, nawe utapata chagua itakayokidhi mahitaji yako.

NB ; Laptop zetu zote zipi customized na SSD storage na RAM >= 8GB ili kuzipa kasi na uwezo mzuri wa kuchakata kazi inazofanya.
 
Kuna lenovo yangu ya kizamani kidogo kioo kimeleta shida unaweza kuitengeneza?ntaipiga picha.
 
Kuna lenovo yangu ya kizamani kidogo kioo kimeleta shida unaweza kuitengeneza?ntaipiga picha.

Vioo pia tunavyo. Vioo vyetu ni vipya kabisa na bei zetu ni rahisi sana. Lenovo yako ni model gani.? Na kioo chako ni cha size gani.

IMG_9134.jpg

IMG_9139.jpg

IMG_9137.jpg
 
Tofauti ipi kati ya SSD na HDD

Habari mkuu.

Ngoja nikuelezee kwa lugha nyepesi. SSD na HDD zinatofautiana katika teknolojia iliyotumika kuzitengeneza.

HDD ni teknolojia ya zamani kidogo na ni teknolojia ambayo kunakua na magnetic disk zaidi ya moda ( duara ama sehemu ya duara kiumbile ) ambapo katika hizi disks ndimo taarifa za mtumiahi huifadhiwa.

Kwa upande mwingine SSD ni teknolojia ya karibuni zaidi na ni teknolojia ambayo inatumia semiconductors ( chukulia mfano wa flash disk ziwe nyingii zilizounganishwa pamoja) kuhufadhi data.

Faida.
SSD zina kasi zaidi ya HDD kuanzia kasi mara 10 na kuendelea kutegemeana na aina ya SSD

SSD zina maisha marefu kuliko HDD.

SSD hazina kelele kama HDD kutokana na kwamba hazina sehemu zinazozunguka.

Karibu kwetu ujipatie SSD kwa bei rahisi kuanzia 69,000/= kwa SAD yenye GB 256.

Ukija kwetu ukanunua SSD tunakubadilishia bure kabisa na kukuwekea Programu bure kabisa.

Tunapatikana Machinga complex floor ya tatu. Tupigie kupitia namba 0714894798 ama 0753555055
 
Lenovo ThinkPad i5,
ram 8GB,
hdd 320GB,

ina adapter yake original na battery masaa 2:30 na ipo katika hali nzuri. bei ya ofa 300k tu, wahi sasa dar es salaam.
WhatsApp Image 2022-10-07 at 12.07.39.jpeg
 
Back
Top Bottom