Car4Sale Jipatie magari mazuri kwa bei ya mmiliki

Car4Sale Jipatie magari mazuri kwa bei ya mmiliki

CANTER TIPA
TANI 2
MIL 16 TZS

IMG-20180713-WA0011.jpg
 
NAWE KAMA UNA GARI UNAUZA
PIGA PICHA ZA NDANI NA NJE PANDE ZOTE PAMOJA NA INJINI
NITUMIE WATSAP KWA NAMBA 0718295182
 
Unajua TZ dalali ni mwizi anataka kula hela kubwa kuliko. Kitu nauza 1M dalali atataka laki lakini yeye anaanza kukiuza tena kwa 2.5M hivyo anachukua 1.6M huu ni wizi.


Kwa hiyo hapo dalali akichukua 1.6M wewe mwenye gri unakuwa umeibiwa shilingi ngapi?
 
Unajua TZ dalali ni mwizi anataka kula hela kubwa kuliko. Kitu nauza 1M dalali atataka laki lakini yeye anaanza kukiuza tena kwa 2.5M hivyo anachukua 1.6M huu ni wizi. Nadhani itungwe sheria ambapo dalali awe link kati ya muuzaji na mnunuzi na baada ya biashara alipwe kamisheni kama madalali wa DSE
Mi Sifanyi udalali huo ndugu ww Muuzaji yaani mmiliki wa gari husika, nipe bei ya kuuzika husinipe Bei ya kiudalali itakayochelewesha au kufanya gari isiuzike kabisa
Mimi natangaza gari kwa bei utakayonipa ww Muuzaji na si kuongeza cha juu
Nitapigana mteja apatikane, Nikileta mteja mnaelewana nae ww gari ikiuzika,Muuzaji utanikumbuka kwa kidogo ili nami nipate cha kulisha familia
ASANTE NDUGU
 
Hiyo passo inauzwa
Tatizo lake ni kua ikiwa kwenye barabara za mashimo inagonga chini
TOYOTA PASSO [HASHTAG]#INAUZWA[/HASHTAG]
Mwaka 2005
Km 75890
Poston 3
990 cc
Bei Mil 4.5 TZS
AC[emoji736]
RADIO [emoji736]
DARES SALAAM TANZANIA
CALL
0718295182 WATSAP
0765505909
IMG_20180720_112302_029.JPG
IMG_20180720_112247_554.JPG
IMG_20180720_112144_826.JPG
IMG_20180720_112126_127.JPG
 
Mkuu Toyota Vanguard
2008 ya CC 1500-2500
Black
Mpaka Mkononi Naipata Kwa Tsh ngapi?
Yaani kila kitu.
 
Mkuu Toyota Vanguard
2008 ya CC 1500-2500
Black
Mpaka Mkononi Naipata Kwa Tsh ngapi?
Yaani kila kitu.
Hiyo kwa sasa sina labda nikutafutie ndugu nikipata nitarusha hapa
 
MITSUBISHI FUSO hiyo wakuu imeshafinyiwa usajili

INAUZWA MITSUBISHI FUSO mpyaa NAMBA T 119 DMU
Model 1995
Engine 15 kavu
Urefu wa bodi futi 22
BEI MILLION 46 TZS
MAONGEZI YAPO
LOCATION DARES SALAAM TANZANIA
CALL
0718295182 WATSAP
0765505909
IMG_20180720_080041_524.jpg
IMG_20180720_080041_522.jpg
 
INAUZWA BMW
Mwaka 2001
Mileages 62,000
4.4 L
BEI MIL 18 TZS
CALL
0718295182 WATSAP
0765505909
IMG_20180720_124521_264.jpg
IMG_20180720_124521_267.jpg
IMG-20180720-WA0011.jpg
IMG_20180720_124521_265.jpg
 
Wakuu nina picha nyingine za ile canter ya Mil 15 hizo hapo
IMG-20180721-WA0004.jpg
IMG-20180721-WA0007.jpg
IMG-20180721-WA0002.jpg
IMG-20180721-WA0005.jpg
 
Back
Top Bottom