BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
- Thread starter
-
- #441
Ndugu hii gari imeuzwa tayariHiyo passo inauzwa
Tatizo lake ni kua ikiwa kwenye barabara za mashimo inagonga chini
TOYOTA PASSO [HASHTAG]#INAUZWA[/HASHTAG]
Mwaka 2005
Km 75890
Poston 3
990 cc
Bei Mil 4.5 TZS
AC[emoji736]
RADIO [emoji736]
DARES SALAAM TANZANIA
CALL
0718295182 WATSAP
0765505909
View attachment 813841View attachment 813842View attachment 813843View attachment 813844
Hii pia imeuzwa ndugu zanguKuna landcruiser Prado hiyo Mil 36 TZS View attachment 809526
Asante ndugu yangu mmoja humu kanunua hii gari hivyo kwa sasa haipo sokoni [emoji120]Hiyo TOYOTA LANDCRUISER TX (BWB) inahitajika pesa ya haraka
BEI MILION 10
Engine 1 KZ
CC 2700
DIESEL
KM 150,000
CALL
0718295182 WATSAP
0765505909 View attachment 816370View attachment 816371View attachment 816372View attachment 816373View attachment 816374
Kiongozi leta hyo Elimu naisubir sanaBaadae nitatoa somo fupi juu ya ununuzi wa magari kupitia mafundi, baadhi yao sio waaminifu sasa nitawapa mbinu ya kukabiliana na changamoto za kukagua gari pindi unapotaka kununua
Sawa ndugu Asante kwa kunikumbusha mida ya mchana narudi na data hapaKiongozi leta hyo Elimu naisubir sana
Nikipata hiyo ntakutumia nduguToyota Town ace pick up inahitajika offer 9mln namba ianze B.....taili nyuma zile double
Ova
Mbona rim ni za verossaGari inauzwa brevis ya muhindi inataka 7.5 ml check me pm View attachment 609816View attachment 609817View attachment 609818View attachment 609819
Hivi unatambua tuko awamu gani mkuu? Hizo bei ni za awamu ya chief toka msoga!MKUU nina rav4 old mode number letters ALY, nina Nissan S/Wagon mwaka 2006 numbr DKD na Toyota Landcruiser S/Wagon ya 2006 bado kupata number ila na guess mpaka usajili itakuwa DLY . Cruiser nataka 60m, Nissan 50m na R4 12m. Ni Magari mazuri. Ukipata soko sema nikurushie picha.
Huyo ponjoro atakunywa sana spar-letta bar. Sahivi hata Brevis mbichi sana namba DF zinaachiliwa kwa 6.5-7m yeye anakoma kutafuta mil.8 kasoro!? Kwa gari inayokula elfu 15 kila siku?Gari inauzwa brevis ya muhindi inataka 7.5 ml check me pm View attachment 609816View attachment 609817View attachment 609818View attachment 609819
Engine ndogo inakuwa na cc ngapi?Brevis kalii
engine ndogo,
BEI MIL 8.6
DSM
CALL
0718295182 WATSAP
0765505909View attachment 778742View attachment 778744
Mimi nashauri ungeunda kundi la Telegram. Au channel ya telegram ingekuwa poa zaidi. Whatsapp ni padogo sanaKuna baadhi ya member wamenipm wanapendekeza niunde kundi la watsap kwa ajili ya update za magari
Je kuna ulazima wa watsap group ndugu zangu
Telegram unajiunga vipi chiefMimi nashauri ungeunda kundi la Telegram. Au channel ya telegram ingekuwa poa zaidi. Whatsapp ni padogo sana