ellyrehema
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 1,197
- 1,017
Opa 4500000/=
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu huu ni uzi maalum mimi ndie napokea na kupost gari yoyote hapa hivyo kama una gari unauza naomba Fata utaratibu lasivyo fungua uzi wako
Download App ya telegram playstore ikisha maliza ku install open jisajili fata maelezo ya on screen then ready to go.Telegram unajiunga vipi chief
Ndugu tafadhari anzisha uzi wako mimi ndie wa kupost hapa, kama una gari unauza na ww ndie mmiliki nitafute namba zangu ziko juu hapo
Bora iwe group sio chanelDownload App ya telegram playstore ikisha maliza ku install open jisajili fata maelezo ya on screen then ready to go.
Huko utaweza unda channels za shughuli yako watu wakawa wanafollow tu hamna aja ya kumtumia kila mmoja, na unavyotumia telegram namba yako ya simu haionekani Kwa mtu unae chat nae.
Chanel haitafaa ndugu?Bora iwe group sio chanel
Chanel haitafaa ndugu?
Channel haitafaa kwakuwa hatutajadiliana nawewe mtoa Mada wala kupost chochote!!
So unda group la Telegram kisha utuwekee link tujumuike kwa uwingi
Bajaji ipo ya Mil 3.5 nduguUkipata bajaji mkuu.
Ndugu tafadhari anzisha uzi wako mimi ndie wa kupost hapa, kama una gari unauza na ww ndie mmiliki nitafute namba zangu ziko juu hapo