INAUZWA Jipatie mzigo mpya(SOFA SETS)

INAUZWA Jipatie mzigo mpya(SOFA SETS)

7dfa28e11ecec3cc1b423a73f75179ab.jpg


nimechoka kukaa chini mkuu naomba msaada ofa ya christmass nikalie kochi. kama hii exactly kitambaa kigumu (ngozi) naipata kwa bei gani .
 
7dfa28e11ecec3cc1b423a73f75179ab.jpg


nimechoka kukaa chini mkuu naomba msaada ofa ya christmass nikalie kochi. kama hii exactly kitambaa kigumu (ngozi) naipata kwa bei gani .
kwa kawaida kama hilo huwa tunauza kwa laki 9 hila kwa offer yako ya sikuku ntakupunguzia elfu 50 ndugu hivyo ntakuuzia kwa tsh 850,000. na ni kwa kitambaa kigumu (ngozi) na rangi utakayoipenda ndugu,
 
kwa kawaida kama hilo huwa tunauza kwa laki 9 hila kwa offer yako ya sikuku ntakupunguzia elfu 50 ndugu hivyo ntakuuzia kwa tsh 850,000. na ni kwa kitambaa kigumu (ngozi) na rangi utakayoipenda ndugu,
mbona hii kidogo ghali kulinganisha na L shape nyingine ambazo nimeona zimepostiwa hapo juu naomba ufafanuzi. kwa budget yangu ya 650k siwezi ipata ??
 
mbona hii kidogo ghali kulinganisha na L shape nyingine ambazo nimeona zimepostiwa hapo juu naomba ufafanuzi. kwa budget yangu ya 650k siwezi ipata ??
kikubwa hapo ni kitambaa hiko ni ghari sana ni ngozi, kwa hiyo 65k niongezee 30,000 elfu na tutumie kitambaa kigumu cha dizain hii[IM
798cc24c1187d5551a3d9cfae67c31cb.jpg
G]/URL]
b4f7ece608fce72a7688b5853fcf44b3.jpg
2baa0c348db85c7b6575e91195ce7a9e.jpg
9bdf0668018b22bc7e13c78f1655e8f6.jpg
hila langi inakua hivyo hivyo kama unavyokitaka wewe
 
naweza pata kama hii ila unibadirishie rangi ya kitambaa, with the same price?
 
kwa sasa hivi tunatoa huduma hata kwa walio mikoa mingine nje ya dar es salaam, hivyo kwa wateja wetu mliopo nje ya dsm tutawahudumia huko huko mlipo, sababu mafundi wapo wa kutosha hivyo unapoweka oda na kutupa aina ya sofa na kitambaa unachokitaka sisi tutakuja kwako na baazi ya vifaa na vifaa vyengine km mbao tutapatia huko huko kwako, karibuni sana
 
kwa hizi na aina nyengine nyingi fika ofisini kwetu Mtoni mtongani au Tabata dar west, pia unaweza ukatupata kwa namba za simu +255784133449/
+255769954870/
+255679670906/
+255621038229
au kwa email eliusmoris2@gmail.com
karibuni sana
FB_IMG_15256769601044143.jpg
FB_IMG_15256769138674397.jpg
FB_IMG_15256768688683698.jpg
FB_IMG_15256768445333519.jpg
FB_IMG_15256766914764220.jpg
FB_IMG_15256766773971369.jpg
FB_IMG_15256765945622926.jpg
FB_IMG_15256757771813679.jpg
FB_IMG_15256757611340100.jpg
FB_IMG_15256757454676035.jpg
FB_IMG_15256757126927993.jpg
 
ba96561dbd99ac9b47833a6002264868.jpg
hizi za mchina tulikua tunaagiza kipindi cha nyuma katika office yetu ya airport jirani na benk ya NMB ila kwa sasa tumeifunga na tumesitisha uagizaji mpaka hapo hari ya uingizaji bidhaa nchini itakapokua sawa
Hizi nimezipenda. Bei gani mlikuwa mnauza?
 
Kuna sehemu pale juu nimeona dressing table nzuri sana kwa ajili ya wife.....vp unaziuza sh ngap
 
na hata kama una picha au fashion ya jinsi ambavyo ungependa sofa lako liwe, tuma humu au katika whatsap no yangu 0784133449 au call katika 0621038229/ 0784133449 nitakutajia bei yake na nitakushauri pia ili upate kilicho bora na hata ukitaka nije kuitazama sofa uitakayo nitakuja pia,
tunakuthamini na tunakupa kilicho bora zaidi, asante
Mkuu me nataka unitengenezee fashion ya kama zile za ikulu
 
Back
Top Bottom