Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa kawaida kama hilo huwa tunauza kwa laki 9 hila kwa offer yako ya sikuku ntakupunguzia elfu 50 ndugu hivyo ntakuuzia kwa tsh 850,000. na ni kwa kitambaa kigumu (ngozi) na rangi utakayoipenda ndugu,![]()
nimechoka kukaa chini mkuu naomba msaada ofa ya christmass nikalie kochi. kama hii exactly kitambaa kigumu (ngozi) naipata kwa bei gani .
mbona hii kidogo ghali kulinganisha na L shape nyingine ambazo nimeona zimepostiwa hapo juu naomba ufafanuzi. kwa budget yangu ya 650k siwezi ipata ??kwa kawaida kama hilo huwa tunauza kwa laki 9 hila kwa offer yako ya sikuku ntakupunguzia elfu 50 ndugu hivyo ntakuuzia kwa tsh 850,000. na ni kwa kitambaa kigumu (ngozi) na rangi utakayoipenda ndugu,
kikubwa hapo ni kitambaa hiko ni ghari sana ni ngozi, kwa hiyo 65k niongezee 30,000 elfu na tutumie kitambaa kigumu cha dizain hii[IMmbona hii kidogo ghali kulinganisha na L shape nyingine ambazo nimeona zimepostiwa hapo juu naomba ufafanuzi. kwa budget yangu ya 650k siwezi ipata ??
kama lipi ndugunaweza pata kama hii ila unibadirishie rangi ya kitambaa, with the same price?
asante sana ndugu kwa pongezi zako na karibu sana nduguMko vzr
ndio ndugu tunakuletea mpaka kwako, pia kwa sasa tunafanya kazi hata nje ya dar es salaamUnawezaletewa kwako ulipo?
Hizi nimezipenda. Bei gani mlikuwa mnauza?hizi za mchina tulikua tunaagiza kipindi cha nyuma katika office yetu ya airport jirani na benk ya NMB ila kwa sasa tumeifunga na tumesitisha uagizaji mpaka hapo hari ya uingizaji bidhaa nchini itakapokua sawa![]()
hizo hatuna kwasasa ndugu, hizo ni za kutoka nje ya nchi na sisi kwasasa hatuagizi kutoka nje nduguHizi nimezipenda. Bei gani mlikuwa mnauza?
tulikua tunauza mil 3 kwa setiHizi nimezipenda. Bei gani mlikuwa mnauza?
Mkuu me nataka unitengenezee fashion ya kama zile za ikuluna hata kama una picha au fashion ya jinsi ambavyo ungependa sofa lako liwe, tuma humu au katika whatsap no yangu 0784133449 au call katika 0621038229/ 0784133449 nitakutajia bei yake na nitakushauri pia ili upate kilicho bora na hata ukitaka nije kuitazama sofa uitakayo nitakuja pia,
tunakuthamini na tunakupa kilicho bora zaidi, asante
Mkuu hizi vitu bado zinapatikana?hizi zote ni tsh 900,000 kwa seti nzima![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()