Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
???nitumie nakara ya kitabu cha mwalimu nyerere
Mkuu jaribu Tanzania Publishing House (TPH) mtaa wa Independence Avenue ( Samora siku hizi, I like old names they had good meanings). Pana vitabu vingi vya wabongo pale.Natafuta kitabu kilichoandikwa na J.K. Nyerere, "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania" kwa Kiswahili au Kiingereza.
Jitihada za kukipata mitaa ya Dar zilishindikana baada ya kuambiwa 'udaku' kwamba kimepigwa marufuku kinamna. Madukani mwa vitabu mwote nilimopita kukiulizia waliniona juha, kana kwamba 'kila mtu anajua' kitabu kilipigwa marufuku.
Madai hayo ni ya kweli au uzushi tu wa uchaguzi?
Shida yangu ni nakala moja tu ya kitabu hicho kwa ajili ya rejea ya kitaaluma.
Natanguliza shukrani.
Amazon.com: Mlenge Fanuel Mgendi: Books, Biography, Blog, Audiobooks, Kindle
=============
UPDATE by JF Admin:
Kwa msaada wa mkuu SubiriJibu kitabu kimepatikana, nakala inaweza kupatikana chini hapa