Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
- Haya mkuu ngaoja niwaachie huu mjadala maana naona inatakiwa uniform kihitaji the otherside nipo anytime, huu mjadala ni mzuri ila matusi sio sawa maan wengi tunamheshimu sana Mwalimu, naomba kujitoa sasa.
FMEs!
[3] Mwl Nyerere alikuwa ni kiongozi mwenye maono ya mbali na alikuwa na uwezo wa kutetea,kusimamia na kulinda jambo analoliamini.Mwl Nyerere atabaki na kosa moja kubwa ambalo mpaka leo bado linanipa shida sana hasa tunapomjadili ni kuwaaminisha waTanzania kwamba B W Mkapa ni kiongozi safiiiii [Mr clean].Hii dhambi Mwl hawezi kuepuka sijui ulemchakato wa kumfanya mtakatifu umeishia wapi labda watu wamestuka.
Natafuta kitabu kilichoandikwa na J.K. Nyerere, "Uongozi wetu na Hatima ya Tanzania" kwa Kiswahili au Kiingereza.
Jitihada za kukipata mitaa ya Dar zilishindikana baada ya kuambiwa 'udaku' kwamba kimepigwa marufuku kinamna. Madukani mwa vitabu mwote nilimopita kukiulizia waliniona juha, kana kwamba 'kila mtu anajua' kitabu kilipigwa marufuku.
Madai hayo ni ya kweli au uzushi tu wa uchaguzi?
Shida yangu ni nakala moja tu ya kitabu hicho kwa ajili ya rejea ya kitaaluma.
Natanguliza shukrani.
Mlenge
=============
UPDATE by JF Admin:
Kwa msaada wa mkuu SubiriJibu kitabu kimepatikana, nakala inaweza kupatikana chini hapa
Ahsante Ngongo kwa analysis nzuri. Japo sijakisoma kitabu naomba kuongeza hapo kwenye no 3. Nachelea kuita kosa au sijuwi niiteje. Anyway niite kosa tu. Kwangu mm kosa kubwa kuliko yote ambalo Mwalim alilifanya na ndilo linalotutesa na litakaloendelea kututesa endapo halitafanyiwa kazi ni katiba ya nchi. Mzee ulimwengu aliliweka vizuri sana siku moja. Alisema kuna watu wanadhani Mwalimu alikuwa ni sehemu ya katiba lakini yeye anaamini katiba yetu ni sehemu ya Mwalimu.Nakubaliana 100% na Mzee Ulimwengu. Mwalimu alifanya makosa makubwa sana kutokubalisha katiba kabla ya kuondoka madarakani. I know alijuwa angeelekewa vibaya lakini hiyo ilikuwa bora kuliko huu upuuzi unaoendelea sasa.
Katiba yetu imemfanya rais kuwa mungu mtu yaani ni zaidi ya kuwa executive president which is very dangerous kama mkipata mtu asiye mtendaji kama ilivyo sasa. Unajuwa kuna kipindi namwangalia rais wetu wa sasa then ninamreflect na Mwalimu akili yangu inagoma kwamba watu hawa wawili hawawezi wote kuwa marais wa Tanzania kwa katiba ile ile no way lazima itakuwepo shida kubwa tu na ndio yanayotokea.Hope nimeeleweka.
FMES,- Jasusi with all due repsect, the ishu hapa ni kwa nini walitaka kumpindua sio kwa nini walishindwa!
FMEs!
Aaah bwana wewe, usiwe na hasira za hivyo...ni heshima hiyo hiyo kwa Mwalimu inayotufanya wengine tuwe wakali mno mwalimu akitukanwa!....pole sana.
Heshima kwako Mlenge,
Naomba kukupa shukrani zangu za dhati kwani jambo ulilolifanya ni jema kwa Tanzania ya sasa na vizazi vijavyo.
Nimesoma kitabu chote nimebaini mambo matatu makubwa.
[1] Mzee Ruksa hakustahili kuwa rais wa Tanzania kwasababu si mtu wa kuchukua maamuzi magumu kama ilivyo kwa Muungwana leo.Nina hakika Mwl Nyerere angekuwa hai leo angemwambia Kikwete awaondoe kwenye chama kundi la mafisadi akiaanza na E Lowassa,A Chenge,R Azziz na wengine wote waliohusika kwa njia moja au nyingine kufilisi hazina ya taifa letu kwa njia za kitapeli.Nina hakika Mwl angekuwa hai leo asingekubali kazi ya kupatanisha makundi yanayokinzana [Sitta Dhidi ya Rostam & E Lowassa] ndani ya CCM,angemshauri Muungwana kuwaburuza mahakamani wezi badala ya kuwakumbatia.
[2] Ndoto za kutaka kuwa rais wa Tanzania zilisababisha Mzee J S C Malecela ashindwe kukemea,kupinga na kutetea maslahi ya taifa ndani ya bunge na ndani ya vikao vya chama.Mzee J C Malecela kwa namana ya ajabu alishindwa kusimamia hata mambo ambayo ni rahisi kuyasimamia akiwa na wadhifa wa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais,kwakushindwa kufanya hivyo nadhani haikuwa busara kuachiwa kugombea wadhifa wa urais wa Tanzania.Nadhani Mwl alikuwa sahihi kumtupa nje katika kindumbwe ndumbwe cha kugombea urais wa Tanzania.
[3] Mwl Nyerere alikuwa ni kiongozi mwenye maono ya mbali na alikuwa na uwezo wa kutetea,kusimamia na kulinda jambo analoliamini.Mwl Nyerere atabaki na kosa moja kubwa ambalo mpaka leo bado linanipa shida sana hasa tunapomjadili ni kuwaaminisha waTanzania kwamba B W Mkapa ni kiongozi safiiiii [Mr clean].Hii dhambi Mwl hawezi kuepuka sijui ulemchakato wa kumfanya mtakatifu umeishia wapi labda watu wamestuka.
FMES,
They are all related. Nkrumah alipinduliwa. Lumumba aliuawa. Ben Bella alipinduliwa
na close associates wake. Sylvanus Olimpio alipinduliwa. Milton Obote alipinduliwa. All this in the 60-70's Kwa nini Nyerere alisurvive? That is the issue. And in fact I asked it as a rhetorical question. Kama hauna jibu mimi nitarudi na jibu lake.They are all related!
Hivi Hitler angeandika kitabu kingekua ni cha namna gani?
FMEs!
Hitler alishaandika kitabu. Tena kilikuwa bestseller. Kinaitwa Mein Kampf!
Sasa hali ya Zimbabwe imeharibika zaidi, na hata kama kuna demand ya hicho kitabu, Mchapishaji wake hawezi kukichapisha.Labda Mzee MwanaKijiji angefanya mpango akaomba kichapishwe hapa Tanzania, basi hao wanaotaka kukisoma wangepata "new edition".
- Mkuu wangu si umekiona je kinaweza kuwa muongozo wa historia, maana kilikuwa kimejaa ideas za yule mwalimu aliyekwua mshauri wake na mentor wake, ubaguzi mtupu sasa kinawezaje kua history! Otherwise, ahsante kwa kumbu kumbu mkuu tupo pamoja sana.
FMEs!
Mzee mara mwisho umeenda lini Zimbabwe? Una uhakika kuwa mchapishaji huyo hawezi kukichapisha? Au ni hisia tu za Ki-BBC?
Pamoja na maswali yangu hayo ni wazo zuri kumuomba tuchapishe Tanzania au tuchapishe pamoja naye. Inawezekana pia hakimiliki ya kitabu hicho ni ya familia ya Mwalimu. Tuiombe pia.
Pia chaweza somwa hapa: http://www.crusader.net/texts/mk/Umekisoma? Kwani historia ni nini? Zifuatazo ndizo sura zake - Je, sio Historia hiyo au Propaganda sio Historia au sehemu ya Historia?
Chapter 3: Subjects and Citizens
Chapter 4: Personality and the Conception of the Völkisch State
Chapter 5: Philosophy and Organisation
Chapter 6: The Struggle of the Early Period the Significance of the Spoken Word
Chapter 7: The Struggle with the Red Front
Chapter 8: The Strong Man Is Mightiest Alone
Chapter 9: Basic Ideas Regarding the Meaning and Organization of the Sturmabteilung
Chapter 10: Federalism as a Mask
Chapter 11: Propaganda and Organization
Chapter 12: The Trade-Union Question
Chapter 13: German Alliance Policy After the War
Chapter 14: Eastern Orientation or Eastern Policy
Chapter 15: The Right of Emergency Defense
Source: http://en.wikipedia.org/wiki/Mein_Kampf