INAUZWA Jipatie saa na bidhaa zingine nzuri sana na OG

INAUZWA Jipatie saa na bidhaa zingine nzuri sana na OG

Hizi bila shaka ni fake. Rado haziwezi kuuzwa kwa bei ya chni namna hii.

Kwa mtazamo wangu, hakuna kitu fake. Ni Bora kutumia neno kiwango duni au ubora mdogo.

Kila kitu kinatengenezwa kulingana na soko lengwa. Simu tunazotumia, nguo, TV Hadi magari ni Yale yamelengwa soko letu huku tuweze kumudu Bei. Zikija zile zenyewe watakaoweza kununua wachache sana

Hata perfumes brand hizi zinakuja huku huko kwao Hadi za USD 400 au USD 600 kwetu unazipata Kwa Tzs 300k au 400k. Bila shaka utakua umenielewa.
 
Kwa mtazamo wangu, hakuna kitu fake. Ni Bora kutumia neno kiwango duni au ubora mdogo.

Kila kitu kinatengenezwa kulingana na soko lengwa. Simu tunazotumia, nguo, TV Hadi magari ni Yale yamelengwa soko letu huku tuweze kumudu Bei. Zikija zile zenyewe watakaoweza kununua wachache sana

Hata perfumes brand hizi zinakuja huku huko kwao Hadi za USD 400 au USD 600 kwetu unazipata Kwa Tzs 300k au 400k. Bila shaka utakua umenielewa.
Siwezi kuelewa wala kukubali maelezo yasiyo na ukweli wowote na yenye kupotosha! Au neno ''fake'' linakupiga chenga kwa sababu ni la kiingereza? Ni hivi: Kuna wahuni wengi wametengeneza saa zisizo na ubora wa saa za Rado, wakaziita Rado, jambo ambalo siyo kweli. Yaani 1. ziko chini ya kiwango 2. Zimepewa jina la Rado, kitu ambacho siyo kweli. Ingekuwa ni kiwanda cha Rado wenyewe wametengeneza hizo saa, hapo tungesema ni Rado zilizo chini ya kiwango kama unavyodai, lakini siyo wao wametengeneza. Ni wahuni wa mtaani tu wametengeza. Nadhani umeelewa shule yangu!
 
Kwa mtazamo wangu, hakuna kitu fake. Ni Bora kutumia neno kiwango duni au ubora mdogo.

Kila kitu kinatengenezwa kulingana na soko lengwa. Simu tunazotumia, nguo, TV Hadi magari ni Yale yamelengwa soko letu huku tuweze kumudu Bei. Zikija zile zenyewe watakaoweza kununua wachache sana

Hata perfumes brand hizi zinakuja huku huko kwao Hadi za USD 400 au USD 600 kwetu unazipata Kwa Tzs 300k au 400k. Bila shaka utakua umenielewa.
Nashkuru kwa ufafanuzi huu best [emoji1666]
 
Siwezi kuelewa wala kukubali maelezo yasiyo na ukweli wowote na yenye kupotosha! Au neno ''fake'' linakupiga chenga kwa sababu ni la kiingereza? Ni hivi: Kuna wahuni wengi wametengeneza saa zisizo na ubora wa saa za Rado, wakaziita Rado, jambo ambalo siyo kweli. Yaani 1. ziko chini ya kiwango 2. Zimepewa jina la Rado, kitu ambacho siyo kweli. Ingekuwa ni kiwanda cha Rado wenyewe wametengeneza hizo saa, hapo tungesema ni Rado zilizo chini ya kiwango kama unavyodai, lakini siyo wao wametengeneza. Ni wahuni wa mtaani tu wametengeza. Nadhani umeelewa shule yangu!

Unachosema kinaukweli Kwa mazingira flani. Nikuulize swali Moja tu, Toyota mpya inayokuja soko la Afrika ipo sawa Kwa viwango na Toyota inayokusudiwa kuuzwa ulaya? Tuanzie hapo kwanza.
 
Mzigo mpya huo wapendwa kama muonavo mashuka mazuri sana ukubwa ni 6×7 hazichuji wala kutoa vipele from Uganda...

Bei ni 45,000 yapo mashuka mawili na foronya zake4, popote ulipo Tanzania hii unatumiwa kiuaminifu kabisa, gharama za usafiri ni elf5 tu kwa mikoa nje ya dar

Karibu sana, ukihitaji tuchekiane kwa 0785434419
IMG-20220724-WA0073.jpg
IMG-20220724-WA0074.jpg
IMG-20220724-WA0075.jpg
IMG-20220724-WA0071.jpg
IMG-20220724-WA0070.jpg
IMG-20220724-WA0069.jpg
IMG-20220724-WA0066.jpg
IMG-20220724-WA0064.jpg
 
Mashuka mazuri sana Yana uwezo wa kusuluhisha ugomvi wa wapendanao[emoji4]
IMG-20220727-WA0009.jpg
IMG-20220726-WA0077.jpg
IMG-20220724-WA0069.jpg
 
Jamani hili shuka ukilalia ukiamka unajikuta stress zote zimekimbia[emoji4]
IMG-20220728-WA0075.jpg
 
Wale gentlemen unaweza mpendezesha mrembo wako kwa 55k tu kwa set nzima hii
Screenshot_2022_0730_091225.jpg
 
Saa zilianza kuonekana Duniani karne ya 16 huko Ulaya hasa Ujerumani.

Hadi sasa ulimwengu wa saa unaamini kuwa mgunduzi wa kwanza wa saa alikuwa ni Bw. Peter Henlein huyu ni Mjerumani
 
Sababu iliyo nyuma ya ugunduzi wa saa ni kutumika kama 'navigation tool in the sea' yaani kiunyamwezi ni kuonyesha majira baharini km kuongozea vi meli na mengine yanayofanyika baharini
 
Miaka ikazidi kusonga mbele na matumizi ya saa yakanizid kupambana moto. Hata sasa saa imeendelea kuwa moja ya urembo kubwa na ya heshima
 
Saa huvaliwa na kila mtu kuanzia mtoto hadi mtu mzima. Wanawake hata wanaume
 
Back
Top Bottom