system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 709
Km suruali za wanaume zinabadilika kuwa za zamani halafu zinarudi tena kuwa za kisasa na kurudi zamaniYou are right kabisa, maana watu hawaishiwi ubunifu kila uchwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Km suruali za wanaume zinabadilika kuwa za zamani halafu zinarudi tena kuwa za kisasa na kurudi zamaniYou are right kabisa, maana watu hawaishiwi ubunifu kila uchwao
Unaongea point kabisaaKm suruali za wanaume zinabadilika kuwa za zamani halafu zinarudi tena kuwa za kisasa na kurudi zamani
Hahahaha ngoja nitafute picha nirushe humuUnaongea point kabisaa
Kuna watu bila saa hawaoni km wanaishi ujueUjueee vituu vizur huvaliwa na weng na hata ukiangalia huku kwetu wengi wanavaa San
Sema nini.....saa huwa ni tamu sana mkononiUia nimeshawah kuvaa saa Kali lakini hizi Ni balaa te a kubwaa🤗
Hata Mimi naonaa kwer mfano mzur Mimi bila saaa cwez ish Tena napenda vitu vizur Kama hivKuna watu bila saa hawaoni km wanaishi ujue
Umeshawahi kutumia km hizi?So bidhaa Kama izi Ni imara Sanaa na ningependaaa watu musichukulie poa
Tena vizur mno mpaka Sasa ninayooo Ni Kali mno toka mwaka janaUmeshawahi kutumia?
Duuuu hahahaTena vizur mno mpaka Sasa ninayooo Ni Kali mno toka mwaka jana
So mambo Ni balaaaa zitoooo😂Duuuu hahaha
Uzi ni mzuri ila naona umeanza kuingiliwa na wapiga debe 😃😃