system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 709
Sio pensi tu wapo utakaokutana nao wameshona vigauniShuka unaweza toa kipensi chako kizuri namna hiyoView attachment 2308773View attachment 2308775
Na pia hizooo saa ni kalii Sanaa na no nzuri kimwonekanoSaa huvaliwa na kila mtu kuanzia mtoto hadi mtu mzima. Wanawake hata wanaume
Yeah ujee hizo saa me mwenyew nishazitumia no nzur sanaDanie moses ww si mzee wa saa mikononi? Njoo kuna mali hapa
Wana namba zako ama niwape?Asanteni nyote mlioniungisha na mnao endelea kununua bidhaa zangu
Uia nimeshawah kuvaa saa Kali lakini hizi Ni balaa te a kubwaa🤗Na pia hizooo saa ni kalii Sanaa na no nzuri kimwonekano
Yeah ujee hizo saa me mwenyew nishazitumia no nzur sana