Mbona namba yako haiko wasapuKUPITIA SISI KUMILIKI TV NI KITU RAHISI JIPATIE TV KWA BEI YA KIWANDANI KUTOKACHINA KAMA IFUATAVYO
SPECIAL BIG ODA TV SMART
BRAND:SAMSUNG / LG
💫32@160000
💫43@300000
💫50@480000
💫55@500000
💫65@540000
💫75@740000
💫85@1040000
💫100@4000000
Smart TV zote
0713861567
Bei zote bila usafiri
TV zikifika unalipia usafiri maana ni TV za kuagiza.
View attachment 3033981
0713861567 ipo whatsap nipo onlineMbona namba yako haiko wasapu
That"s why mnapigwa huko PM, mkishapigwa mnajitokeza na machozi yenu hadharaninakuja PM
🥹🥹🥹That"s why mnapigwa huko PM, mkishapigwa mnajitokeza na machozi yenu hadharani
Inapendeza sana
Eti unalipia ile bei ya kiwandani halafu unasubiria mzigo ukifika unaenda kulipia usafiri ndiyo unachukua! Hapa kuna kila dalili za watu kulizwa!Mzigo upo au nakuja kulipia nisubirie?
Unataka tuanze kuoneshana mihuri? Pia uelewa wako mdogo kwahiyo viwanda vikitengeneza vinagawa bure? Unajitambua? Unaniambia eti hata nje sijawahi toka bro mm nishajaza passport mpaka nimepewa mpya alafu unaweza kusafiri still ukawa mshambaNani kasema sijui. Nimesema kwa uhakika kabisa wewe huna uwezo wa kununua TV kama LG viwandani. Kwanza viwandani hawauzi kazi yao ni kutengeneza tu. Nakuambia kitu nachokijua. Wewe ungesema tu unauza kwa bei rafiki lakini siyo eti bei ya viwandani. Uelewa wako ni mdogo sana na huenda hata nje ya Bongo hujatoka.
Ukiona umeanza kuwaza hvyo ujue unadalili ya kutokuwa na pesa mbona magari watu wanalipia wanasubiri likifika wanalipia kodi? Au hujui?Eti unalipia ile bei ya kiwandani halafu unasubiria mzigo ukifika unaenda kulipia usafiri ndiyo unachukua! Hapa kuna kila dalili za watu kulizwa!
Asante mkuu Kwa mrejesho maana tungepigwa hapa🙏🙏Jamani nakumbuka nilisema nitaleta mrejesho nikishawatembelea,
Hawa mabwana niliwatafuta niliambulia kupelekwa kakriakoo kwenye mabanda yao
na aliyenipeleka inaonesha ni dalali maana alinipeleka kwa watu na bidhaa zao hazikuwa bora ofisi imekaa kama ni ya mafundi.
Niwieni radhi kama nimeharibu soko, ila ninaeleza nilichokutana nacho.tukumbuke pesa tunapata kwa tabu inabidi tutumie kwa raha siyo karaha.
Ukweli ni kwamba Samsung hawana kiwanda cha TV nchini China .....hizo TV zako ni FAKEHii ni bei ya kuagiza kutoka china bei ya kiwandani mzigo ukifika unalipia usafiri
Soon watalia watunakuja PM
Tuwekee hizo tv za dukani, bei zake na pia mahali zilipo. Hizo za kuagiza hatuzitaki.Dukani zipo kuagiza pia unaweza