mwanaharakati kijana
Member
- Sep 30, 2019
- 48
- 81
- Thread starter
- #21
Habari, ukishanunua tunaanza kufuatilia hati Jiji,Utaratibi wa hati uko je
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari, ukishanunua tunaanza kufuatilia hati Jiji,Utaratibi wa hati uko je
Kiwanja ni kikubwa piaBei imechangamka!
Hakika mkuu, karibu sanaKAZI ni kipimo cha utu
Karibu mkuuTangazo limekamilika
Yani 35kms ekari mnauza laki tano 🙃.Mungu awapambanieArdhi ni mali isiyohamishika, haiozi, haiharibiki, haiibiwi, ni investment ambayo haikupi stress na zaidi sana thamani yake inaongezeka kila siku. Ukiinunua leo laki tano, kesho jioni utaiuza zaidi ya laki tano.
Nina habari njema kwako leo mwekezaji, kuna shamba linauzwa Mpunguzi Dodoma. Ni 35km kutoka mjini. Na 5km kutoka barabara ya lami (lipo ndani ndani huko). Shamba hili linafaa kwa kilimo Cha mbogAmboga na matikiti. Unaweza kufanya kilimo Cha umwagiliaji kwa kuchimba kisima Cha mkono maana maji hayapo mbali na ardhi.
Zipo ekari nne, na ekari moja inauzwa laki tano tu. Ndio ni 500,000 tu sababu mwenye shamba ana shida ya haraka inayohitaji pesa kutatuliwa, na option pekee aliyo nayo ni kuuza ardhi.
Twende ukalipie leo, upate shamba zuri na muuzaji amalize shida yake.
0743387260View attachment 2902295View attachment 2902296
Kijiji Cha Chibelela jirani na Chibelela SekondariMpunguzi mitaa gan boss?
Kwamba ni Bei kubwa? mashamba yanauZwa Hadi milioni mbili hapa hapa Mpunguzi jirani na barabara ya lamiYani 35kms ekari mnauza laki tano [emoji854].Mungu awapambanie
Hapana mkuu, Bei ni fixed 500k na ni Bei rafiki mno kwa maeneo haya.Fanya Kwa 200K Tuchukue Zote.
35Kilometres Za Tangazo Huwa Zinakuwa 50Kilometres
Ni iringa road, unapita Mkonze then chisichili then matumbulu then Mpunguzi....haufiki MteraMpuguzi ni jia ya kwenda mji gani?
Bei ni fixed mkuuPunguza bei.
Anauguza mgonjwa mwenye Kansa au? Bima yaAfya kwa wote haijamfikia akimaliza Shamba inafuata Nyumba atauza Biashara akija kushtuka yupo mtaani nyumba ya kupanga noma sana, Mungu amtie wepesi ndugu yetuTwende ukalipie leo, upate shamba zuri na muuzaji amalize shida yake.
Kwamba ni Bei ndogo sana?Yani uko Dodoma kukoje yani heka moja million 1.5 karbu na IKULU.?
Ni Hela ndogo sana?Mil 15 kiwanja? Watanzania sijui tuna akili gani ya kimaskini.
Inategemeana na location, vipo Hadi vya laki tano mkuuViwanja vya Dodoma bei halali ni kati ya 3m na 8m