Emmanuel S Jonathan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 379
- 278
Sme ndio Nini! Give intro ndio uweke izo offerView attachment 3046043
Pata Vodacom sme Bure kabisa, uwe na nida, Tin number, picha yako, utapata ndani ya dakika chache nicheki kupitia +255753207909
Nikajua mie form ten ndio sijaelewa.Sme ndio Nini! Give intro ndio uweke izo offer
Nipe mbinu mkuu wangu na mimi niingie humoSkuizi tulishatoka kwenye bando za limited tunatumia unlimited mkuu
Hakuna gharama zozote zakujiunga BossKuungwa unachaji shilingi ngapi?
Ipo hivi Airtel mb 10 kwa 70k device laki mbiliNipe mbinu mkuu wangu na mimi niingie humo
Ipo hivi Airtel mb 10 kwa 70k device laki mbili
Haloteli mb 15 kwa 50k device laki na 50
Voda mb 20 115k kwa 200k device
Zote ni unlimited mkuu
TTCL FIBER mb 20 kwa 50k
Ndio mkuu kasoro hiyo ya fiber ya TTCLare they mobile? naweza kutembea nayo?
basi hz ni nzuriNdio mkuu kasoro hiyo ya fiber ya TTCL
Hii ni mwezi mzima au...?Ipo hivi Airtel mb 10 kwa 70k device laki mbili
Haloteli mb 15 kwa 50k device laki na 50
Voda mb 20 115k kwa 200k device
Zote ni unlimited mkuu
TTCL FIBER mb 20 kwa 50k
Mb 10 kwa 70k 🥴Ipo hivi Airtel mb 10 kwa 70k device laki mbili
Haloteli mb 15 kwa 50k device laki na 50
Voda mb 20 115k kwa 200k device
Zote ni unlimited mkuu
TTCL FIBER mb 20 kwa 50k
Ndio hiyo ni speed yakeMb 10 kwa 70k 🥴
nlisahau kuuliza eti hz device nazo znaitwa router au?? yan nkienda vodashop nawaambia nahtaji kifaa ganIpo hivi Airtel mb 10 kwa 70k device laki mbili
Haloteli mb 15 kwa 50k device laki na 50
Voda mb 20 115k kwa 200k device
Zote ni unlimited mkuu
TTCL FIBER mb 20 kwa 50k
Routernlisahau kuuliza eti hz device nazo znaitwa router au?? yan nkienda vodashop nawaambia nahtaji kifaa gan