King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
thanksRouter
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thanksRouter
Vp swala speed yakeKama. Unataka Data za angalau bei rahisi nenda Halotel waambie unataka SimCard ya M2M watakusajilia kwa buku kwa week ni 5,000/= kwa 4Gb kwa Mwezi ni kama hivi
Sasa ukiandika hivi watu watakuelewa kweli, 10Mb mtu hawezi kujua ni bundle/offer au kitu gani. 10Mbps makes more sense, samahani lakini mkuu!!Ndio hiyo ni speed yake
Wasiwasi wangu ni kuwa ukishaunganisha line yako na hiyo huduma inakua limited kwa huduma zingine, mfano kwa Airtel Ukiunganisha line yako ya hii SME, upande wa Lipa no haikubali, Kwa voda sijajua itakuaje.
Tukumbuke sahv Technology inakua sana ,usishangae baadaye ukataka kuunganisha esim ikawa haiwezekani, hivi vitu lazima tufikirie kwa upana
Ipo good sana ndio natumia hapa sioni kama inatatizo ila ina speed kuliko TigoVp swala speed yake
Speed interms of MBps au Mbps?Ndio hiyo ni speed yake
Vp kama nna line tayar nkitaka waniwekee hiyo huduma vpIpo good sana ndio natumia hapa sioni kama inatatizo ila ina speed kuliko Tigo
NdioSpeed interms of MBps au Mbps?
Megabyte or Megabit per second?Ndio
Megabit per secondMegabyte or Megabit per second?
Una kichwa kigumuKuungwa unachaji shilingi ngapi?
Ndio nina kichwa kigumu unataka nikupenyezee hiki kichwa?Una kichwa kigumu
Hapo sijajua ila ungefika kwenye office zao upate maelezo zaidiVp kama nna line tayar nkitaka waniwekee hiyo huduma vp
HahahahahahaaNdio nina kichwa kigumu unataka nikupenyezee hiki kichwa?
Sawa Mkuu 😂😁😁Sasa ukiandika hivi watu watakuelewa kweli, 10Mb mtu hawezi kujua ni bundle/offer au kitu gani. 10Mbps makes more sense, samahani lakini mkuu!!
Bei kubwa ukilinganisha na tigoView attachment 3046043
Pata Vodacom sme Bure kabisa, uwe na nida, Tin number, picha yako, utapata ndani ya dakika chache nicheki kupitia +255753207909