Jipige kifua mara tatu na kusema; mwaka 2025 nitafanya mambo yafuatayo:

Jipige kifua mara tatu na kusema; mwaka 2025 nitafanya mambo yafuatayo:

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
1. Kufanya ibada kama ilivyo amriwa;

2. Kufanya mazoezi na kula kwa staha na kiasi kama anavyoshauri Prof. Janabi;

3. Kuchamgamkia fursa na kupiga vita umasikini na ufukara;

4. Kupunguza liabilities, mke, mchepuko na mademu kausha damu;

5. KUshiriki kikamilifu kwenye siasa, kuchagua au kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa;

6. Kutoa zaka, sadaka na kusaidia masikini na yatima;

7. Kupanda miti angalau 12 hivi na kusafisha mazingira mara ka mara;

8. Kutembelea wazazi na walezi wako na watoto yatima mara kwa mara;


9. Kuwalinda na kuwajali watoto na watu wengine wasio na ulinzi;


10. Kwenda mazikoni mara kwa mara ata kwa mtu usiye mjua, we nenda tu kazike
 
1. Kufanya ibada kama ilivyo amriwa;

2. Kufanya mazoezi na kula kwa staha na kiasi kama anavyoshauri Prof. Janabi;

3. Kuchamgamkia fursa na kupiga vita umasikini na ufukara;

4. Kupunguza liabilities, mke, mchepuko na mademu kausha damu;

5. KUshiriki kikamilifu kwenye siasa, kuchagua au kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa;

6. Kutoa zaka, sadaka na kusaidia masikini na yatima;

7. Kupanda miti angalau 12 hivi na kusafisha mazingira mara ka mara;

8. Kutembelea wazazi na walezi wako na watoto yatima mara kwa mara;


9. Kuwalinda na kuwajali watoto na watu wengine wasio na ulinzi;


10. Kwenda mazikoni mara kwa mara ata kwa mtu usiye mjua, we ndnda tu kazike
Una akili...



..Ni hayo tu!!!
 
1. Kufanya ibada kama ilivyo amriwa;

2. Kufanya mazoezi na kula kwa staha na kiasi kama anavyoshauri Prof. Janabi;

3. Kuchamgamkia fursa na kupiga vita umasikini na ufukara;

4. Kupunguza liabilities, mke, mchepuko na mademu kausha damu;

5. KUshiriki kikamilifu kwenye siasa, kuchagua au kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa;

6. Kutoa zaka, sadaka na kusaidia masikini na yatima;

7. Kupanda miti angalau 12 hivi na kusafisha mazingira mara ka mara;

8. Kutembelea wazazi na walezi wako na watoto yatima mara kwa mara;


9. Kuwalinda na kuwajali watoto na watu wengine wasio na ulinzi;


10. Kwenda mazikoni mara kwa mara ata kwa mtu usiye mjua, we nenda tu kazike
Imekaa vyema.
 
1. Kufanya ibada kama ilivyo amriwa;

2. Kufanya mazoezi na kula kwa staha na kiasi kama anavyoshauri Prof. Janabi;

3. Kuchamgamkia fursa na kupiga vita umasikini na ufukara;

4. Kupunguza liabilities, mke, mchepuko na mademu kausha damu;

5. KUshiriki kikamilifu kwenye siasa, kuchagua au kuchaguliwa kuwa kiongozi wa kisiasa;

6. Kutoa zaka, sadaka na kusaidia masikini na yatima;

7. Kupanda miti angalau 12 hivi na kusafisha mazingira mara ka mara;

8. Kutembelea wazazi na walezi wako na watoto yatima mara kwa mara;


9. Kuwalinda na kuwajali watoto na watu wengine wasio na ulinzi;


10. Kwenda mazikoni mara kwa mara ata kwa mtu usiye mjua, we nenda tu kazike
Kasoro namba 5 mengine nitajitahidi
 
Back
Top Bottom