Idd Ninga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2012
- 5,497
- 4,775
Mimi ni mfanyabiashara wa vocha za simu.
nimeuza vocha toka hasubuhi mpaka jioni.
ilipofika jioni wakati nafunga duka,mteja akaja na kuniuliza "VOCHA SHILINGI NGAPI ?
mi nikamjibu bei ya vocha sijui ila tazama ktk kibubu cha hela hapo na hela utakayokuta ndio bei ya vocha.
jamaa akatazama na kutoa hela ya vocha na kuweka ktk chombo cha hela,nikampa vocha,akaondoka,wakati anaondoka, nikamuita na kumwambia "SAMAHANI MUHESHIMIWA UMESAHAU CHENJI"nikatoa mia mbili na kumpa kama chenji,akaondoka.
akaja mtu wa pili nae nikafanya vile vile kama mtu wa kwanza.
akaja mtu wa tatu,nako nikafanya vile vile kama mtu wa kwanza,na wa pili.
baada ya hapo wakati nafunga mahesabu nilitazama ktk kichombo cha hela na kukuta hakuna kitu.
JE MTU WA KWANZA ALIKUTA SHILINGI NGAPI,WA PILI ALIKUTA SHILINGI NGAPI NA WATATU ALIKUTA SHILINGI NGAPI ?
jipime,kuwa makini,rudia kusoma hadi uelewe.
nimeuza vocha toka hasubuhi mpaka jioni.
ilipofika jioni wakati nafunga duka,mteja akaja na kuniuliza "VOCHA SHILINGI NGAPI ?
mi nikamjibu bei ya vocha sijui ila tazama ktk kibubu cha hela hapo na hela utakayokuta ndio bei ya vocha.
jamaa akatazama na kutoa hela ya vocha na kuweka ktk chombo cha hela,nikampa vocha,akaondoka,wakati anaondoka, nikamuita na kumwambia "SAMAHANI MUHESHIMIWA UMESAHAU CHENJI"nikatoa mia mbili na kumpa kama chenji,akaondoka.
akaja mtu wa pili nae nikafanya vile vile kama mtu wa kwanza.
akaja mtu wa tatu,nako nikafanya vile vile kama mtu wa kwanza,na wa pili.
baada ya hapo wakati nafunga mahesabu nilitazama ktk kichombo cha hela na kukuta hakuna kitu.
JE MTU WA KWANZA ALIKUTA SHILINGI NGAPI,WA PILI ALIKUTA SHILINGI NGAPI NA WATATU ALIKUTA SHILINGI NGAPI ?
jipime,kuwa makini,rudia kusoma hadi uelewe.