Jipu kwenye labia minora

Pole dadangu...nakushauri nenda kwa vipimo zaidi hasa kwa madaktari bingwa Wa magonjwa ya wanawake na uzazi
Mungu atakusaidia utapona

germve himself
 
Nakushauri uende kwa specialist wa wanawake.

Pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pitia DUTA ya gynecology, hapo tatzo ni bartholin abscess, mkuu aliesuggest iv cefriaxone yuko sahihi, kuna literature zipo zinaongelea SITZ bath katika kupunguza pain na uvimbe, stds bacteria kama chylamydia na neisseria G zinasababisha hyo kitu na E.coli strong drug like cefriaxone inatumika pia, over.
 
Ni kweli anaweza kutumia broadspectrum kama ceftriaxone kwa kua ina cover all gram positive and gram negative bacteria lakini pia kuna a great emarging of drug resistance predominantly 3rd generation cefarosporins akiwemo E.coli thts why nilisuggest afanye culture kwenye hospital kubwa yenye good lab services.
Na ni tatizo linalozidi kukua sehemu nyingi including Tz watu wanajimezea antibiotics kimazoea bila kufanya testing za labs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…