Jipu kwenye labia minora

Jipu kwenye labia minora

samahani, hivi labia minora ndio mashavu ya ndani au ya nje? tofauti yake na labia majora?

pole sana, umri wako? umeolewa, utakuwa unapata shida sana kwasababu jipu eneo hilo hata unyumba bwanako utakuwa humpi, pia linaleta impression mbaya, kupasuliwa eneo hilo tena, sura ya kitafunwa inabaki vilevile? ulishapima vvu? kwasababu majipu ni kuchafuka damu na mara nyingi hiyo huwa dalili mojawapo. kunywa maji mengi muda wote, fanya mazoezi, omba Mungu, maisha yetu yapo mikononi mwa Mungu, kubaliana na kila jambo ikiwa ni mapenzi ya Mungu.
Damu huchafuliwa na nini ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_5671.jpg
Dah kwel nimeamin dunian maradhi nimengi sana sasa ona hiyo picha ilivyo jaman
 
Habari zenu wana jamvi nimekua nikisumbuliwa na jipu kwenye Right Labia Minora nimetumia Antibiotics lakini baada ya kupona nakaa muda fulani linarudi tena mahali hapo hapo mara nyingi nakwenda kupasuliwa hospitalini lakini linarudi tena msaada wenu tafadhali


Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda umeshatembea na mume au bwana wa mtu kaamua kukufanya vibaya uchawi huo uko kwetu pwani na Tiba hauna labda urudi futi 6 ndio pumziko,ila kama ni mipango ya Mungu pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom