Rashidi Jololo
JF-Expert Member
- Sep 21, 2022
- 1,704
- 2,858
Lete chats zako dogo nikujadili, miaka hii vijana wa ovyo wameongezeka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa utajadili nini wakat kijana wa ovyoLete chats zako dogo nikujadili, miaka hii vijana wa ovyo wameongezeka sana
Kama vile umejua, Hawa viumbe waone hvyo hvyo tu. Kinademu mmoja na Mimi niliwahi kutana naye tukabadilishana mawasiliano then baadae akajitoa ufahamu kujifanya kanielewa sana. Akaomba tukutane tujuane zaidi, tulipokutana nkaspend kama 80,000 hv nikamsikiliza maneno yake na kujifanya kanielewa sana. Baada ya pale akaendelea kunionyesha kuwa ananipenda na kuonyesha sijui anachanganyikiwa nisipomjibu meseji au aakinipia nisipopokea. Sasa akaomba tena tukutane. Nilimuuliza tu maswali mawili na ndio ikawa mwisho wetu. Nilimuuliza unataka tukutanie wapi? Akanijibu palepale pa siku ile. Swali la pili nkamuuliza upo tayari kugharamikia tutakavyo spend? Hakujibu na safari iliishia pale.Mmh! Unapangwa uchunwe wewe aloo amka!
Hapo utabwagiwa shida kama zote,utaanza na hela ya fundi TV na kununua DSTV mpya,usije sema sijakwambia.
Ukifika piga on😅Mwambie atoke chap tunaenda wavuvi kemp kwenye revorution
Akifika atapiga on 😅Akuuu😅
Na me nitapiga off😂 tutaona nani mkaliAkifika atapiga on 😅
Ngoja aje akupeleke yale maeneo😉Na me nitapiga off😂 tutaona nani mkali
🤣🤣 I can't wait...Ngoja aje akupeleke yale maeneo😉
Hapo kwenye bills🤔🤣🤣 I can't wait...
Me anilipie tu bills basi
Asante sanaWTF? wakati mwingine wanawake hawana makosa bali ni vijana wa kiume ndio wenye tatizo, kinachokuzuia kugonga na kuendelea na mambo yako au kupotezea ni kipi?? Hadi ulete hapa JF. Be a grown man. Stupid
Ndio patakapomtoa nduki hapoHapo kwenye bills🤔
Naona ameshatoka nduki🤣Ndio patakapomtoa nduki hapo
Sawa mkuu mara ngapi?Ukifika piga on😅
Muoga sana uyNaona ameshatoka nduki🤣
Mimi mshamba sana ata uma sijui kushikaNapiga on. Yaani on kama on😂😂😂 ushamba mzigo sana kwahyo tushajua unajua kupiga on na kingine tushajua ww mshamba haya kuna kingine ungependa tujue
Mara moja tuSawa mkuu mara ngapi?
Bili ya savana au hennesy?🤣🤣 I can't wait...
Me anilipie tu bills basi
tasikia kweli ila on ya vanguuard kali tu arasikiaMara moja tu