Jirani anafosi nimle, mimi naona so

Jirani anafosi nimle, mimi naona so

Mmh! Unapangwa uchunwe wewe aloo amka!
Hapo utabwagiwa shida kama zote,utaanza na hela ya fundi TV na kununua DSTV mpya,usije sema sijakwambia.
Kama vile umejua, Hawa viumbe waone hvyo hvyo tu. Kinademu mmoja na Mimi niliwahi kutana naye tukabadilishana mawasiliano then baadae akajitoa ufahamu kujifanya kanielewa sana. Akaomba tukutane tujuane zaidi, tulipokutana nkaspend kama 80,000 hv nikamsikiliza maneno yake na kujifanya kanielewa sana. Baada ya pale akaendelea kunionyesha kuwa ananipenda na kuonyesha sijui anachanganyikiwa nisipomjibu meseji au aakinipia nisipopokea. Sasa akaomba tena tukutane. Nilimuuliza tu maswali mawili na ndio ikawa mwisho wetu. Nilimuuliza unataka tukutanie wapi? Akanijibu palepale pa siku ile. Swali la pili nkamuuliza upo tayari kugharamikia tutakavyo spend? Hakujibu na safari iliishia pale.
 
Napiga on. Yaani on kama on😂😂😂 ushamba mzigo sana kwahyo tushajua unajua kupiga on na kingine tushajua ww mshamba haya kuna kingine ungependa tujue
 
Napiga on. Yaani on kama on😂😂😂 ushamba mzigo sana kwahyo tushajua unajua kupiga on na kingine tushajua ww mshamba haya kuna kingine ungependa tujue
Mimi mshamba sana ata uma sijui kushika
 
Back
Top Bottom