Jirani anazalisha K Vant feki na kuziingiza sokoni, nimripoti wapi?

Jirani anazalisha K Vant feki na kuziingiza sokoni, nimripoti wapi?

Status
Not open for further replies.

ukerewekwetu

Senior Member
Joined
Sep 17, 2023
Posts
102
Reaction score
245
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji.Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant. Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi. Nipo Kigamboni
bila picha huu uzi ni umbea kama umbea mwengine
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji.Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant. Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi. Nipo Kigamboni
Huko unatokata kwenda kuripoti unaweza kukuta anapeleka fungu.

Nchi hii imeshaoza kabisa.

Ila kama unataka kujaribu. Anzia kwa Afisa Afya (Bwana/Bibi Afya) wa eneo lako, au fika ofisi za mganga kuu wa Manispaa, onana na Afisa Afya wa Manispaa.

Na kwakuwa, uko karibu na ofisi za Kanda fika ofisi za TBS Ubungo. Au piga simu.

Au njia rahisi ni kumchoma kwa KVANT ORIGINAL wao watadeal naye kwasababu anavuruga maslahi yao, tena hata zawadi wanaweza kukupa
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji.Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant. Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi. Nipo Kigamboni
demu wako mwenyewe K yake fake. acha watu wapige hela. tafuta namna ya ku join naye mpige helA
kUNA KONYAGI ZINALISHWA fake ,wale wasambazaji wa kiwanda ndo wanaotumika kuzisambaza
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji.Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant. Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi. Nipo Kigamboni
Mimi nakushangaa badala na wewe utengeneze,unaleta unoko,hivi unajua ni vitu vingapi haviko sawa nchi hii
 
Kwa niaba ya walevi wote wa vitu vikali tunakuta ukamripoti haraka sana kwa watengeneza K Vant original na zawadi watakupa kama shukrani

Ukitipoti polisi au kwa mjumbe sijui watahongwa na watapiga kimya

Hii itasaidia kwa kiasi fulani kuokoa figo zetu kwa mavinywaji fake kama haya

Nawasilisha
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Hao ndio wanauwa figo zetu.....

Ww nande kwa watu wa Kvant og mripoti
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom