Jirani anazalisha K Vant feki na kuziingiza sokoni, nimripoti wapi?

Jirani anazalisha K Vant feki na kuziingiza sokoni, nimripoti wapi?

Status
Not open for further replies.
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Ni rahisi sana. Usiende polisi kwani anaweza kuhonga na kurudi kuendelea na pengine watamwambia mbaya wako ni huyu. Nenda moja kwa moja kwenye ofisi au kiwanda cha hiyo bidhaa, omba kuonana na meneja masoko umueleze. Si ajabu utapewa na zawadi. Au piga simu waeleze, wakupe utaratibu wa kuonana nao. Hakikisha unawasiliana na uongozi wa juu au mwenye kiwanda kabisa kwa sababu hii hujuma inaweza ikawa inafanywa kwa ksuhirikiana na baadhi ya wafanyakazi wa kwenye kiwanda.
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Kaushaa
 
Nawashukuru kwa mawazo wandugu hata kwa wale mlionishambulia. Mnaosema nimripoti kwa KVant wenyewe nimeshindwa maana hawana active Website hivyo sijapata namba ya simu wala Email. Pia mimi nipo Kigamboni na Kiwanda kipo Arusha hivyo siwezi kwenda Arusha. Nadhani niache tu kikubwa mnaokunywa KVant mjue mnalishwa madubwasha ambayo hayajathibitishwa na TBS.
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Kunammmoja alikuwa kmr sijui.kama yupo bado alikuwa na stika za tra ana watu anawalipa kukusanya vidubwasha used vya smart gin aisee ameviuza kmr yaan ubungo mpaka mbezi kama unaonja hii kitu smart g acha namini na ilemambo atakuwa anaonja pia
 
Inavyoonekana hata hao Polisi wapo kwenye mgao. Nimejaribu kuisearch hiyo Kampuni original inayotengeneza KVant nimeona inaitwa Mega na Makao Makuu yapo Arusha.Cha kushangaza haina hata website au namba ya simu ya kutoa taarifa muhimu kama hii. Kazi kwelikweli
Mkuu usiteseke. Nenda kwa wauzaji wa pombe za jumla omba wakupe namba za watu wa mauzo au supervisor wa K-vant eneo hilo. Kama wakikuuliza shida nini waambie unaulizia taarifa za kutaka kufungua biashara ya jumla kwa bidhaa yao (k-vant). Watakucheki chap kwa haraka.
 
Acha unoko ndugu..

Nchi yenyewe ina ufeki kila mahali, siasa feki, maisha feki, serikali yenyewe ina viongozi wenye ufeki mwingi..

Acha mwamba alishe familia yake..
Siku ndugu yako wa karibu atavyolazwa muhimbili kwa tatizo la figo mkaanza kuchangishwa ndio utakumbuka hii kauli yako,inaweza kuwa wewe binafsi hutumii lakini watu wako muhimu likawapata jambo
 
Siku ndugu yako wa karibu atavyolazwa muhimbili kwa tatizo la figo mkaanza kuchangishwa ndio utakumbuka hii kauli yako,inaweza kuwa wewe binafsi hutumii lakini watu wako muhimu likawapata jambo
Ukienda hiyo Muhimbili kwa siku wanapokea wagonjwa wapya wa stroke wasiopungua 3.... Wagonjwa figo wa kutosha, wagonjwa wa ini, plus magonjwa mengine yasiyoambukiza ya kutosha..

Moral of the story ni kwamba siku hizi fakes are everywhere....

Mwamba aachwe asongeshe maisha..

Serikali si inasisitiza watu wajiajiri? Let them be.
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Kwanini naweww usianzishe PEPSI fekibupige pesa????
 
Acha unoko ndugu..

Nchi yenyewe ina ufeki kila mahali, siasa feki, maisha feki, serikali yenyewe ina viongozi wenye ufeki mwingi..

Acha mwamba alishe familia yake..
Yaani aendelee kuumiza watu?
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
akikujua umekwisha
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
ukerewe kwetu Njoo PM please serious
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Hizo K Vant original zenyewe una uhakika na ubora wake? Usikute hizo feki ni bora na salama kuliko original.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom