Jirani anazalisha K Vant feki na kuziingiza sokoni, nimripoti wapi?

Jirani anazalisha K Vant feki na kuziingiza sokoni, nimripoti wapi?

Status
Not open for further replies.
Hilo deal nenda kawape k vant wenyewe watakupa chochote kitu
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Acha kiherehere ..kwan hata k Vant og ina vitamin gani?
Mwambie akupe katoni kazaa sambaza kwenye grocery
 
Kwa niaba ya walevi wote wa vitu vikali tunakuta ukamripoti haraka sana kwa watengeneza K Vant original na zawadi watakupa kama shukrani

Ukitipoti polisi au kwa mjumbe sijui watahongwa na watapiga kimya

Hii itasaidia kwa kiasi fulani kuokoa figo zetu kwa mavinywaji fake kama haya

Nawasilisha
K vant og ndio haichomi figo ?
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Kwa Vincenzo Jr
 
Kumbe huu uhuni kweli upo ndo maana kuna kipindi ukipishana chooni na mtu kala kvant choo kina harufu kama jamaa alietoka kala maharage mabichi usiku.
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Kama Kodi nayolipa inaenda Kwa Yanga wakati najinyima Ili niwe mzalendo kumbe ujinga tu ACHA mwamba apige Hela Sasa hivi nikipata dili haramu napiga

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Huko unatokata kwenda kuripoti unaweza kukuta anapeleka fungu.

Nchi hii imeshaoza kabisa.

Ila kama unataka kujaribu. Anzia kwa Afisa Afya (Bwana/Bibi Afya) wa eneo lako, au fika ofisi za mganga kuu wa Manispaa, onana na Afisa Afya wa Manispaa.

Na kwakuwa, uko karibu na ofisi za Kanda fika ofisi za TBS Ubungo. Au piga simu.

Au njia rahisi ni kumchoma kwa KVANT ORIGINAL wao watadeal naye kwasababu anavuruga maslahi yao, tena hata zawadi wanaweza kukupa
Alafu mbaya zaidi unaenda kuripoti , uliyemripoti anapenyezewa taarifa kuwa umemchoma😅😅😅
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Sijawah kuona mkerewe mwenye roho nzr
Wengi wao waga wanoko,roho mbaya na wambea wambea
Kama unaona mwamba anafaidi sana mfate akupe mbinu kdg za ww kupata hela ya mboga
Hii nchi tunapigwa sana ajira hamna pesa hamna,acha mwamba ajitafutie mkate wake wa kila siku
Ningekua ww ngemuomba niungane nae na ningempa wazo la kuhamisha kiwanda ili wanoko wasije choma utambi
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisheki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Wivu tu wa maendeleo!
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Fcc na mamlaka ya chakula na dawa.
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Acha wivu asee na wewe zalisha konyagi feki kama rahisi
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Mripoti TFMDA mkuu. Ukimpeleka polisi utakuwa umeenda kuwatajirisha.
 
kumbe smartgin watu wanatoa kopi?

Ndo mana mtu akimaliza chupa mbili tu hata kuhema kwa tabu
Hao wapuuzi wanaharibu sana bidhaa za watu kwani wanaingiza pombe feki mtaani na matokeo yake zinaua figo za wanywaji.
Naomba umchunguze vizuri inawezekana anatengeneza vinywaji vya aina nyingi ikiwepo SmartGin maarufu kisungura .
Ukigundua anatengeneza na Smart Gin please usisite kuwasiliana na uongozi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom