Jirani anazalisha K Vant feki na kuziingiza sokoni, nimripoti wapi?

Jirani anazalisha K Vant feki na kuziingiza sokoni, nimripoti wapi?

Status
Not open for further replies.
Mbona hamzigusi energy drinks?

Unafiki tuu..
Energy drinks ziko sawa...
Wazalishaji wanajulikana na taratibu za kutumia Energy drink zinajulikana.

Suala lipo kwa nyie watumiaji...

Na hizi Spirits ni more prone to illness kuliko Energy drinks na mtu anawasanua kuhusu afya zenu Ndio kwanza mnamuona Mwehu..

Watu wana "Suicidal thoughts" bila Kijijua
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Mpaka sasa ushamlipoti
 
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.

Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.

Nipo Kigamboni.
Aisee
 
Ukitaka kujua feki juu ya mfuniko haina nembo,wenyewe ni plain
Ah mm hizo mama situmii kabisa. Toka nilvyoshauriwa kuachana na matukiz ya spirit kwa ulevi na dokta wangu nimeacha kabisa. Na wiki ijayo namrudia mungu mazima. Mada za kijingajinga jf hawanioni
 
Dada fisadi hagusi figo ya mtu,huyu anachezea maini na figo za watu...apige feki vitu visivyogusa uhai aone kama kuna kelele zote...Hapa tunaongelea uhai na kifo
Kupiga pesa za serikali ambazo zingesaidia kununua madawa hospitali na kujenga vituo vya afya sio kuchezea maisha ya watu?

Kuna watu hawana uwezo hata wa kununua panadol
 
Jamaa sio kwamba anamsagia kunguni muhusika ila anajaribu kuepusha madhara yatakayo tokea kwa jamii hasa kwa watumiaji. Mi jitu imekazana eti acha roho mbaya ukiona mtu anasema hivyo ujue ana utindio wa ubongo.Motherfvkr
 
Kupiga pesa za serikali ambazo zingesaidia kununua madawa hospitali na kujenga vituo vya afya sio kuchezea maisha ya watu?

Kuna watu hawana uwezo hata wa kununua panadol
Sasa unajua kuna watu hawana uwezo wa kununua panado bado unashadadia watu wanaochezea uhai wa watu na kuwaimbia nyimbo za kuwatukuza kwamba ni wajanja, wasifanyiwe umbea waachwe wapige hela,imagine kununua panado ni kisanga je kufanya dialysis itakuwaje,,,hebu try to be serious
 
Sasa unajua kuna watu hawana uwezo wa kununua panado bado unashadadia watu wanaochezea uhai wa watu na kuwaimbia nyimbo za kuwatukuza kwamba ni wajanja, wasifanyiwe umbea waachwe wapige hela,imagine kununua panado ni kisanga je kufanya dialysis itakuwaje,,,hebu try to be serious
Mda wa kujibizana na mtu kama huyu unatoa wapi?
 
Ah mm hizo mama situmii kabisa. Toka nilvyoshauriwa kuachana na matukiz ya spirit kwa ulevi na dokta wangu nimeacha kabisa. Na wiki ijayo namrudia mungu mazima. Mada za kijingajinga jf hawanioni
Good...spirit kwa kweli zimekuwa sio rafiki tena kwa ajili ya hao wapiga copy...Mungu akupe kusimama hapo utapomrudia
 
Kushadadia ndiyo nini? Nilichokisema nimekisema tuache umbea katika maisha ya watu.

Kama umekwazika pole, bye!!!!
Sasa unajua kuna watu hawana uwezo wa kununua panado bado unashadadia watu wanaochezea uhai wa watu na kuwaimbia nyimbo za kuwatukuza kwamba ni wajanja, wasifanyiwe umbea waachwe wapige hela,imagine kununua panado ni kisanga je kufanya dialysis itakuwaje,,,hebu try to be serious
 
snitch get............ acha unoko na wivu hizo kvant og unauhakika gani kama zina viwango... alafu mkazi wa kigamboni aunakuaje mnoko
 
Huyo ni mjasiriamali (risk taker), Anatakiwa kuelimishwa umuhimu wa kuwa na chapa yake. Kisha aongezewe mtaji atafika Mbali.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom