ukerewekwetu
Senior Member
- Sep 17, 2023
- 102
- 245
- Thread starter
- #21
Ndio hawana hata website wala namba ya simu nimesearch hapa. Taarifa za juu nimeona anwani kwenye chupa yao wapo ArushaHao ndio wanauwa figo zetu.....
Ww nande kwa watu wa Kvant og mripoti