ukerewekwetu
Senior Member
- Sep 17, 2023
- 102
- 245
bila picha huu uzi ni umbea kama umbea mwengineNi nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji.Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant. Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi. Nipo Kigamboni
Ni kweli.Aache unoko hadi ndugu zako wafe kwa kunyweshwa sumu.Sijui huwa mnakua na ubongo wa paka au nguchiro?Acha unoko ndugu..
Nchi yenyewe ina ufeki kila mahali, siasa feki, maisha feki, serikali yenyewe ina viongozi wenye ufeki mwingi..
Acha mwamba alishe familia yake..
Huko unatokata kwenda kuripoti unaweza kukuta anapeleka fungu.Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji.Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant. Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi. Nipo Kigamboni
demu wako mwenyewe K yake fake. acha watu wapige hela. tafuta namna ya ku join naye mpige helANi nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji.Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant. Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi. Nipo Kigamboni
Nisaidie contact zao tafadhali,sina roho mbaya nae,kinachokera ni kelele na usumbufu anaotusababishia majirani kwa shughuli zake zisizo halali,kwa nini asiende kuifanyia mahali ambako hatakuwa kero kwa wengine??Wape taarifa kvant original wadeal naye kisawasawa
Mimi nakushangaa badala na wewe utengeneze,unaleta unoko,hivi unajua ni vitu vingapi haviko sawa nchi hiiNi nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji.Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant. Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi. Nipo Kigamboni
Huyo anajitafuta akimaliza anafungua kiwanda kidogoNisaidie contact zao tafadhali,sina roho mbaya nae,kinachokera ni kelele na usumbufu anaotusababishia majirani kwa shughuli zake zisizo halali,kwa nini asiende kuifanyia mahali ambako hatakuwa kero kwa wengine??
Ulichoandika kisome tena halafu kitafakariAcha unoko ndugu..
Nchi yenyewe ina ufeki kila mahali, siasa feki, maisha feki, serikali yenyewe ina viongozi wenye ufeki mwingi..
Acha mwamba alishe familia yake..
Hao ndio wanauwa figo zetu.....Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.
Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora sahihi.
Nipo Kigamboni.