Jirani kalisahau wowowo lake nje

Hazard CFC

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2015
Posts
16,627
Reaction score
38,689
Dada huyu anaependelea kutumia formation ya viungo watatu katikati( verasidika,aggy masogange na sanchoka) 4-3-3 kawanyima sana usingizi ma bazazi,mafisi na wake zetu hapa mtaani...akipita lazima ugeuke hata kwa kuiba iba,leo nimeamka nimekutana na wowowo lake kwenye kamba nikabaki nikisema aiseee kumbe kuvunjika kote shingo kwa miaka 3 ni kazi bure
 
Kama kajua kuumiza shingo zenu mfichieni tu siri sababu si kila akipita munaona raha na wengine wanakosa mpaka usingizi.

Haya muwache kumsema dada wa watu likikauka atalirudisha ndani. Hahahaaaa. Ila kawaweza hasaaaaa.
 
Kama kajua kuumiza shingo zenu mfichieni tu siri sababu si kila akipita munaona raha na wengine wanakosa mpaka usingizi.

Haya muwache kumsema dada wa watu likikauka atalirudisha ndani. Hahahaaaa. Ila kawaweza hasaaaaa.
Eti atalirudisha ndani...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…