Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
kuku nilitupia sana mahindi na mtama aingie bandan akagoma kumbe hiyo ndio sababu[emoji23] [emoji23][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hatari sana ndugu- wowowo la bandiaNaona umechukua nafasi....
Mzee goma kwa miaka mitatu anatuumiza nalo tuHatari sana ndugu- wowowo la bandia
HahahhaahhaaaaaaaMzee goma kwa miaka mitatu anatuumiza nalo tu
Umenipa akili..hapa nitamlia taming niliibe[emoji23] [emoji23] [emoji23] ila lazima anakua na backup mkuuHahaha, liibe mkuu kama hajakaa ndani mwezi mzima akinya hukohuko, kula hukohuko na na mambo mengine hukohuko [emoji23]
Hahaha sijui kwann tunatesana hivi[emoji23] [emoji23]Hahahaaaa, ameliacha lipunge upepo kidogo.
hahaha akilipigilia hilo dude hata ukijifanya hardcore lazima ulegeze kidogoHahahhaahhaaaaaaa
Kama nawaona vile mlivokuwa mnageuza shingo zenu kula kwa macho
[emoji23] [emoji23] [emoji23] sijui kalisahau je huyu..Kama kajua kuumiza shingo zenu mfichieni tu siri sababu si kila akipita munaona raha na wengine wanakosa mpaka usingizi.
Haya muwache kumsema dada wa watu likikauka atalirudisha ndani. Hahahaaaa. Ila kawaweza hasaaaaa.
Na mnavopenda nundu saasa! hahahaaaaahahaha akilipigilia hilo dude hata ukijifanya hardcore lazima ulegeze kidogo
Eti atalirudisha ndani...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kama kajua kuumiza shingo zenu mfichieni tu siri sababu si kila akipita munaona raha na wengine wanakosa mpaka usingizi.
Haya muwache kumsema dada wa watu likikauka atalirudisha ndani. Hahahaaaa. Ila kawaweza hasaaaaa.
Hahahaaa. Itakuwa kachoka kulianika ndani anaogopa magonjwa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] sijui kalisahau je huyu..
Ndio ili akalivae na kwenda kuumiza tena shingo za kina Hazard. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Eti atalirudisha ndani...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu hazikwepeki hizoHazard mzee wa chabo
Ila Best huyo mdada kajua kuwaweza kina Hazard bana [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hazard mzee wa chabo