Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀kuku nilitupia sana mahindi na mtama aingie bandan akagoma kumbe hiyo ndio sababu[emoji23] [emoji23]
😀😀😀Hahahaaa. Mjini Mipango mdogo wangu na hasa baada ya kujua kwamba Mtaa mzima wa kina Hazard wanaume wanahusudu Mizigo basi dada wa watu akajua kujiongeza. Hahahaaaaa.
Hivyo akaamua aende nao sawa lol.
Ama kweli kila king'aacho si dhahabu, yaani siku zote shingo zetu zinaumia kumbe ni kitu cha mchina! Wanawake nyie Mungu Anawaona mjue😱😵🙁Hahahaaa. Mpe pole Mkeo jamaani ila ndio ukamwambie kwamba huyo dada hana lolote zaidi ya kujaladia hivyo apunguze presha.
Ila wanaume nyie hapana kwa kweli lol. Nimekaa najiwazia sidhani kama akitembea linatikisika hilo dude ila ndio wenyewe mnavunjaa shingo zenu hatari.
Na wewe dont trai zis at homu Hajar eehHahahaaa. Bakiaga tu ulivyo shoo maana naona kama utapata tabu shooo.
Hayo mwachiage huyo jirani wa Hazard. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndio liwe la kichina sasa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nyie si mnapenda wowowo
Itabidi tuhamasishe hiyo kampeni kwakweli, wazo mujarab kabisa HajarHahahaaa. Lol. Hata ukisononeka haisaidii lakini.
Ila wanaume mugeuzage shingo hadi kwa wale wenye flat bana ili wasishawishike kuvaa hiyo mikitu.
Umeona eeh, wachina ugonjwa wa wanaume wao wameona ni fursa ya biashara...watakuja kuleta hata K za bandia kama hajaanza[emoji23][emoji23]acha tu mchina ni konyoo.
Kwanini uwe na miguu ya kuku?
Hahahaaaa. Wajipongeze wale wanaojaladia mdogo wangu.Hahahaha ila tujipongeze wanawake kwa ujasiri kama huo ili tu kuridhisha wanaume.
Hahahaa. Lilienda kumalizikia ndani.Aiyaaaa!! Na sidhani kama lilikauka
Uwiiii Kaka.Nasikia kuna six pack pia siku hizi zinauzwa!
Najipanga nikachukue,mazoezi yamenishinda
Hahahaaa. Poleeni.Ama kweli kila king'aacho si dhahabu, yaani siku zote shingo zetu zinaumia kumbe ni kitu cha mchina! Wanawake nyie Mungu Anawaona mjue😱😵🙁
Hahahaa. Ziwezi trai hii kitu kwani huwa najikubali kwa jinsi nilivyo Sesten.Na wewe dont trai zis at homu Hajar eeh
Hahahaaaaa. Hamasishaneni jamaani. Lol.Itabidi tuhamasishe hiyo kampeni kwakweli, wazo mujarab kabisa Hajar